BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,779
October
Sijui kwanini mnajisahaulisha habari ya goli la mkono
We ndo umechelewa kweli...tuliopo mtandaoni tunaishi mbinguni??? Katibu mwenezi wako alishaona mwaka huu mbombo ngafu ndio maana akawazia hata goli la mkono we kiroboto tu unatokwa povu hapa.....kama jambazi mbona hamkumfunga?? mwaka huu mtaharisha sana
pipooooooooooooooooo
Mwalimu wa chemistry Ilboru (Mama Lowassa) vs. Mwalimu wa shule msingi Mbuyuni (Mama Magufuli).
Sijui kwanini mnajisahaulisha habari ya goli la mkono
Watu mnapenda kuota mchana kweupe....
Hatuwezi kuongozwa na chama kinachofuata matakwa ya baba mkwe na mkwe wake.
Hao watabaki kuwa wapinzan milele.
El hawezi kuja kuongoza nchi yoyote hapa dunian labda atakuja kuongoza huko kuzim
Watu mnapenda kuota mchana kweupe....
Hatuwezi kuongozwa na chama kinachofuata matakwa ya baba mkwe na mkwe wake.
Hao watabaki kuwa wapinzan milele.
El hawezi kuja kuongoza nchi yoyote hapa dunian labda atakuja kuongoza huko kuzim
ilatuwe kwenye chama kikongwe kinachofata matakwa ya mtoto na mama yake kwa kile wanacho kitaka,Kikwete kaiharibu ccm imekuwa ya wajingawajinga na kiota cha majungu
una mtindio wa ubongo...ndo maana huwezi kuelewa wa ku fill ushetani wa CCM...nakuchukia kwa niaba ya watanganyika na wazanzibarkijana mm sina chuki ila naongea ukweli ambao upo.
Ila nyinyi nawaona wengi mnaongelea kiushabiki na sio ukweli uliopo
una mtindio wa ubongo...ndo maana huwezi kuelewa wa ku fill ushetani wa CCM...nakuchukia kwa niaba ya watanganyika na wazanzibar