First Lady- 2016

First Lady- 2016

goli la mkono wapi? Ukweli ni kwamba mnaonesha ushindan kwenye mitandao lakn mmesahau kuwa kuna mitaani, vijijini n.k.

Mbaya zaidi mmejiharibia yule mliyekuwa mnawita mwizi,jambaz na watz wakawaamin kwa kuanika uovu wake leo hii ndiyo Mungu mtu wenu ambaye mnamtegemea kuwaletea ushindi.
Hapo ndo mmejiharibia kabisa.

Tuonane oct

Tena goli lenyewe mnataka kumfanya Judge wa watu kivuitu hiyo tumeshaijua, kuiba kura ngumu safari hii, kura za kijijini hamna, kijijini wameamka kuliko hata mijini siku hizi hatudanganyiki, kwa hiyo tunasubuiri tuone mtakavyomkivuitu J. Lubuva
 
Dada FaizaFoxy u mzima? Mbona unaonekana kuwa na uhakika sana?

Kwani Magogoni ina hati ya CCM tu? Ngoja msije shangaa kapi lenu hilo hilo likawapiga kikumbo asubuhi saa nne...

What an exciting election!!!
 
Last edited by a moderator:
goli la mkono wapi? Ukweli ni kwamba mnaonesha ushindan kwenye mitandao lakn mmesahau kuwa kuna mitaani, vijijini n.k.

Mbaya zaidi mmejiharibia yule mliyekuwa mnawita mwizi,jambaz na watz wakawaamin kwa kuanika uovu wake leo hii ndiyo Mungu mtu wenu ambaye mnamtegemea kuwaletea ushindi.
Hapo ndo mmejiharibia kabisa.

Tuonane oct
Kama huwezi kutafakari kwanini mpaka dakika hii utetezi ule haukujibiwa na wahusika basi utapata BP huko mbeleni.
 
nguti mmanyafu ghweehhh......yaani unataka tuendelee kuongozwa na wanafiki kama kikwete wanajifanya maarosto wanatoka madarakani wameshakuwa mabilionea,nasisi hatu wapi ccm tena nchi yetu

Na Lowasa ni masikini, katoka hana fedha, na hata ugombea hajaununuwa huko chagadema?

Vipi daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa kawa shetani?

Mnayaota madaraka? mtayaona kwenye magazeti tu.

Magufuli for President.
 
Last edited by a moderator:
Dada FaizaFoxy u mzima? Mbona unaonekana kuwa na uhakika sana?

Kwani Magogoni ina hati ya CCM tu? Ngoja msije shangaa kapi lenu hilo hilo likawapiga kikumbo asubuhi saa nne...

What an exciting election!!!

Sikiliza kijana, hata Mbowe anajuwa hakuna Urais, kalamba mshiko wake hata waliotoka nae mbali, walioufungwa nae waliokula nae marungu, waliopuliziwa moshi wa kuwasha daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa hakumjali.

Mchagaa kaona aaaaahhhhh, nisikose yote, Urais tuukose na fedha nizikose? kajilambia zake hana wasi wasi anacheka cheka tu.


Unafikiri kwanini daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa kanuna?
 
Last edited by a moderator:
Mnafahamiana kwahiyo mnaelewana na mnaelewa kile mnacho jibizana hapa .

kwani mwenye kuona kunahitaji kuoneshwa?
akili za waajiriwa wengi wa kitanzania zimelalia kwenye wizi, rushwa, ubadhirifu, uongo, ufisadi na ukuwadi wa aina zote. (nchi hii iko vice versa WAKWELI HAWATAKIWI, WEZI WANASIFIWA)

changanya na zako.
 
Na Lowasa ni masikini, katoka hana fedha, na hata ugombea hajaununuwa huko chagadema?

Vipi daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa kawa shetani?

Mnayaota madaraka? mtayaona kwenye magazeti tu.

Magufuli for President.

dada umepanic hata post yangu hauja isoma vizuri
 
dada umepanic hata post yangu hauja isoma vizuri

Kajisome tena halafu uone nilichokujibu, nnaona ulio panic ni wewe. Unaongelea mabilionea waliotoka madarakani lakini aliyetoka ni Lowasa umemsahau una haha na waliopo madarakani.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Sikiliza kijana, hata Mbowe anajuwa hakuna Urais, kalamba mshiko wake hata waliotoka nae mbali, walioufungwa nae waliokula nae marungu, waliopuliziwa moshi wa kuwasha daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa hakumjali.

Mchagaa kaona aaaaahhhhh, nisikose yote, Urais tuukose na fedha nizikose? kajilambia zake hana wasi wasi anacheka cheka tu.


Unafikiri kwanini daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa kanuna?

Kazi ipo!!
 
Kajisome tena halafu uone nilichokujibu, nnaona ulio panic ni wewe. Unaongelea mabilionea waliotoka madarakani lakini aliyetoka ni Lowasa umemsahau una haha na waliopo madarakani.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

taratibu tu dada mwenyekiti aliwaambia mjiandae kisaikolojia,haya mambo haya hitaji jazba nikukubaliana tu..!!chama chetu kimeshindwa acha kipumzike na chenyewe kama mwenyekiti alivyo amua
 
nasikia hyuy first lady wa safari ya magogoni ana ila, nimesimuliwa alivyo wapa askari chakula kwa kuwasukumia kwa mguu!!!! hana ushirikano kabisa!! ila EL mwenyewe wanamkubali sana
 
huleweki...yo cannot curse whoever brought u on earth...a poor out dated philos
 
Back
Top Bottom