First Lady- 2016

First Lady- 2016

nasikia hyuy first lady wa safari ya magogoni ana ila, nimesimuliwa alivyo wapa askari chakula kwa kuwasukumia kwa mguu!!!! hana ushirikano kabisa!! ila EL mwenyewe wanamkubali sana

Duh!!! Yaani huyo mama, basi tu, mungu amsamehe kama ni ya kweli..... Magufuli akidaka nchi, huyo maza lazima akione
 
Wana UKAWA nakosema kuwaleteeni First Lady- 2016.

Mawasiliano yake ya twitter ni @FLUROT

View attachment 273536

cc: cacico, Preta, Madame B Ngongo Molemo na wengineo. Mje mumuone FL huyooooo.

Mgombea wa urais kwa
tiketi ya CCM, Dk John Magufuli
amewashauri Watanzania
kutoharakisha kutaka mabadiliko na
mapinduzi yasiyo na mipango kwa
kuwa baadhi ya nchi zilizofanya hivyo,
sasa zinajutia uamuzi wao.
Mgombea huyo jana alitumia sehemu
kubwa ya mikutano yake kuwaeleza
wananchi kuwa anao uwezo wa
kukidhi kiu yao ya mabadiliko
wanayoitaka, hivyo hakuna haja ya
kuhadaiwa na watu wanaolazimisha
ukombozi na mabadiliko bila kufanya
tathmini ya kina.
Akiwahutubia wakazi wa Mbalizi,
Mbeya Vijijini, Dk Magufuli alisema
mabadiliko bora yanaweza kuja hata
bila kubadilisha chama kwenye
uongozi. Akisema hiyo ilitokea kwa
Chama cha Kikomunisti cha China
ambacho kilifanikiwa kuifanya nchi
hiyo ikue kwa kasi kiuchumi duniani
kiasi cha kuishinda Marekani.
Alisema nchi kama Libya, Tunisia, Iraq
na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
(DRC), wananchi wake walilazimisha
mabadiliko lakini leo wanajuta.
“Msitoe hukumu ya jumla, zipo nchi
zilifanya hivyo zinajuta. Libya ya
(Hayati Muammar) Gadaffi ulikuwa
ukioa unapewa nyumba, unatafutiwa
mtaji, maji, elimu na umeme bure
lakini wananchi walichoka raha,”
alisema.
“Wakasema anaondoka lakini leo hii
hakuna raha na wale vijana waliotaka
ukombozi wa haraka ndiyo wa kwanza
kuvuka Bahari ya Mediterranean
kwenda Ulaya.”
Aliwaomba Watanzania wamwamini
na kumpigia kura kwa kuwa akiingia
Ikulu hatakuwa na deni la kulipa kwa
sababu hakupata nafasi ya kugombea
urais kwa kuwalipa watu ili wamteue.
Alisema mchakato wa uteuzi aliufanya
kwa mwongozo wa Mungu ndiyo
maana hata fomu za uteuzi wa
mgombea urais ndani ya CCM
alichukua na kurudisha kimyakimya.
“Wapo watu wengine walitumia pesa
ili wachaguliwe, lakini walipoona mimi
nimechaguliwa wameanza kukimbia
wenyewe,” alisema Dk Magufuli.
Alisema wapo baadhi ya watu
wanamchukia kutokana na misimamo
yake ya kiutendaji na kukemea rushwa
ndiyo maana alipoteuliwa baadhi yao
ndani ya CCM walikimbia mapema.
Mgombea huyo ambaye ameendelea na
kampeni zake katika mkoa mpya wa
Songwe, alisema akiingia madarakani
atakomesha ujangili wa wanyamapori
kwa kuboresha masilahi ya askari wa
wanyama hao.
Alisema ni jambo la kushangaza kuona
tembo wanauawa kila siku na meno
yao kushikwa nje ya nchi, licha ya
kuwapo askari wenye bunduki za SMG
wakati Wamasai wanachunga ng’ombe
wao kila siku bila kuibiwa.
“Hivi kwani hakuna uwezekano wa
kuwapanga maofisa kutokana na
makundi ya tembo? Unampa tembo 30
kila askari halafu unamwambia nikute
hata jino moja limeng’oka wewe na
mimi na unampa mshahara mzuri,”
alisema Dk Magufuli akiwa Mkwajuni
wilayani Songwe huku akishangiliwa.
Alisema kuna watendaji wachache
wanaofanya wananchi waichukie
Serikali kwa kuiba fedha za maendeleo
za halmashauri na kwamba akiingia
wakurugenzi wote wa Manispaa na
halmashauri ambao ni wazembe
watakiona.
Waziri huyo wa Ujenzi, kila
alikohutubia aliahidi kujenga barabara
za lami na kumwagiza Meneja wa
Wakala wa Barabara (Tanroads) Mkoa
wa Mbeya kutangaza zabuni za ujenzi
wa barabara hizo haraka
iwezekanavyo.
Akiwa Mbalizi, aliahidi kujenga
kilomita moja ya barabara ya lami
wakati Mkwajuni na Makongorosi
aliahidi kujenga kilomita nne za ndani
na kumalizia ujenzi wa Barabara ya
Mbalizi – Chunya kwa lami kwa kuwa
Songwe imeshakuwa wilaya. Katika
siku yake ya tano ya kampeni, Dk
Magufuli aliahidi kuanzisha mfuko
maalumu wa fedha za kutoa pensheni
kwa wazee ili waweze kuishi vizuri na
kutoa ushauri kwa vijana.
 
Sijui kwanini mnajisahaulisha habari ya goli la mkono

Kinachofurahisha ni kwamba angalau wengi wanakiri kwamba mwaka huu UKAWA unashinda, kwamba pona ya CCM ni goli la mkono. Sasa tunasema hivi, hakuna cha goli la mkono. Tutalizuia kwa kung'oa lango la goli. Tutashinda!
 
Watu mnapenda kuota mchana kweupe....

Hatuwezi kuongozwa na chama kinachofuata matakwa ya baba mkwe na mkwe wake.
Hao watabaki kuwa wapinzan milele.

El hawezi kuja kuongoza nchi yoyote hapa dunian labda atakuja kuongoza huko kuzim

Vipi Chama chenu wakuu kuembea na majina yao mifukoni mwao?
 
Mkuu 47pro wewe vimba macho tu, watashangaza...
 
Last edited by a moderator:
Watanzania wan atakuwa wabaki katika chama kinachoobgozwa na mama ,mtoto na baba
 
Kwann watu hawataki kuamini Richmond ni ufisadi wa mkwere na mwanaye?wajitokeze hadharani wakanushe kama sio kweli!
 
Nasikia ni msomi sana kama First lady wa awamu ya tatu.
 
Back
Top Bottom