First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

Hi student?

Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20),

Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six.

Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS.

Tatizo mmemeza
Hakuna uhusiano wwte hapo
Just quick qn wamegundua chochote hao wa super humans wako??
 
Mleta uzi umechemka vibaya sana sio kweli. ukifatilia sana hao ma TO sio kwamba wanakuwa na vipaji vya ajabu sana ila wengi wamesoma katika mazingira mazuri na shule bora huku wakiwa chini ya usimamizi mzuri sana hadi wengine kupangiwa ratiba za kusoma bila kusahau wengine wanatumia goli la mkono. Elimu ya chuo imetofautiana sana na elimu za sekondari kwa maana hauangaliwi mtihani mmoja tu wa mwisho kuna vitu vingi kama test, quiz, assignments, presentations, seminar papers, research paper n.k. so bidii yako katika yote hayo ndio itakubeba na ikizingatiwa hakuna anayekusimamia wala kukupangia ratiba ya kusoma. dawa ya kufaulu chuo ni bidii tu hakuna kingine hayo mambo ya background za shule za msingi na sekondari hayana nafasi. mfano mzuri miaka ya 2000's kurudi nyuma asilimia kubwa ya watu ambao wamefika level ya advanced level na vyuoni ni ambao hawakufaulu vizuri ama hawakuchaguliwa kujiunga na sekondari za serikali kutokana na uhaba wa shule na hivyo wakaamua kwenda private schools then wamefika mbali.Jaribu kujikumbusha wale wakali wako wa shule ya msingi ya kayumba wako wapi leo hii? kama sio walimu shule za msingi basi wanafanya kazi nyingine unprofessional. na hata wale vipanga wa o'level wengi hawafurukuti A'level. Binafsi sikuwa mkali sana s/msingi nilikuwa nazidiwa na watu kama 6 hivi kiufaulu na watano wakachagulia sekondari. mimi nilibaki lakini nikaenda private huku nikiwa naamini huko wanaenda wasiokuwa na akili. lakini kwa bidii niliweza kupata division 3 na kuwazidi wale waliofaulu s/msingi ambao wawili walipata 0, wawili div iv, mmoja div iii na mmoja div ii. huyo wa div ii na div iii na mimi tukaenda sekondari lakini pia sikubalance combination nikaenda private. mtihani wa acsee nikapata one ya 7, yule wa ii o'level akapata div ii ya 12 A'level na yule wa div iii akapata tena iii a'level. chuo nikamaliza udsm, GPA 4.2, nikabaki kama TA then nikapata masters yangu na september naenda Australia kupiga PhD.

Toa uwongo wako hapa
 
Nyie bisheni mana hamjui ,mi naongea fact tu hapa, sijakurupuka usingizini kuyaongea haya. Evidence zipo, vilaza wajitambue mapema

Unaongea kama vile wengine hatujasoma. Vyuo bana?
Sijawah kua na sikua TO during secondary but I have my 1st class honour plus sio mm tu na washkaj kibao wamescore almost the same
 
sasa historia ya mtu na G.p.A vinamahusioano gani? uliambiwa G.P.A inatolewa kwa ufaulu wako wa o level na A level?
hii inchi kuendelea ni ngumu sana Aisee!!!
 
Hakuna kitu kama hicho!!watu wameenda chuo maTO na wametoka na GPA za ajabu ajabu!!cha muhimu chuo na kusoma!mwenye division 3 Alevel anaweza kutaka chuo na GPA ya zaidi ya 4.

Labda ndio hao ambao wako kwenye asilimia 5.
 
Hi student?

Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20),

Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six.

Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS.

Hali ikoje na kwenye 'uzamili' na 'uzamivu'?
 
TO gani ambaye hajapata first class?
•Mnawajua ma-TO wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na Mmojawapo ni ZeMarcopolo (Jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka Mzumbe/Kibaha na Ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....M1(A 10 olevo,A 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
•Mie nilipiga One ya 3 Advance lkn sijabahatika kupata U -TO! Na Chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
Mi o'level enzi zilee div. one pts 11, A' level shule mpya yenye Mwalimu mmoja tu bila vitabu na bila maabara (wangese walioifungua kabla haijakamilika) div one pts 9. UDSM first class 4.9. Mi naangukia kundi gani?
 
Last edited by a moderator:
Hi student?

Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20),

Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six.

Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS.

Nikipiga picha ya table ya data zako kwenye mind yangu naona kama ifuatavyo: jumla ya wote wanaopata first class 95% ni TO, na 5% sio TO; halafu ukienda kwenye classes nyingine TO ni 5%, na wasio TO ni 95%. Kwa statistics hizi hutakiwi kutoa hiyo conclusion yako kwa sababu haijulikani individually matokeo ya TO na sio TO yatakuwaje; hivyo wote lazima wapige kazi bila ku-glorify the past mpaka hapo game litakapokwisha.
 
Mi o'level enzi zilee div. one pts 11, A' level shule mpya yenye Mwalimu mmoja tu bila vitabu na bila maabara (wangese walioifungua kabla haijakamilika) div one pts 9. UDSM first class 4.9. Mi naangukia kundi gani?

Unaangukia kwenye 5% ya jumla ya wanaopata 1st class ambao sio TO.
 
sasa historia ya mtu na G.p.A vinamahusioano gani? uliambiwa G.P.A inatolewa kwa ufaulu wako wa o level na A level?
hii inchi kuendelea ni ngumu sana Aisee!!!

Hivyo ni vipimo tofauti vainavyopima uwezo wa mtu katika ngazi tofauti. Jamaa anataka ku-establish reliability ya hivyo vipimo na kuishia kutoa conclusions kuwa hao wanaopata ngazi za juu wengi wao ni 'super human'. Ila swali inakuwaje kwa wale ambao wanaanguka katika university level? Na pia je wanapoendelea katika 'uzamili', na 'uzamivu' bado wanaendelea kushika nafasi za juu?
 
Unaongea kama vile wengine hatujasoma. Vyuo bana?
Sijawah kua na sikua TO during secondary but I have my 1st class honour plus sio mm tu na washkaj kibao wamescore almost the same

Jamaa statistically yupo sahihi kwani wewe na washikaji wako mnaangukia kwenye 5% ya waliopata 1st class ambao sio ma-TO.
 
TO gani ambaye hajapata first class?
•Mnawajua ma-TO wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na Mmojawapo ni ZeMarcopolo (Jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka Mzumbe/Kibaha na Ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....M1(A 10 olevo,A 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
•Mie nilipiga One ya 3 Advance lkn sijabahatika kupata U -TO! Na Chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
Aisee kingkongIII huyo!!!
 
Last edited by a moderator:
Hi student?

Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20),

Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six.

Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS.
je wewe upo kundi lipi asilimia 95% au 5%?
 
Mada mbumbu zichujwe km vipi hapa zisifike,inachosha kujadili ujinga.
Acha watu wajadili wakipendacho. Ukionacho ujinga wewe mwingine ndo anaokotamo ukoko wa maarifa hasa ukizingatia kuwa hakuna ujinga wala werevu asilimia 100. Vitu hivi vimefungamana na kushonana my friend na ukiviangalia kwa jicho pana la kifalsafa unaweza kujifunza mambo mengi sana hata kutoka kile ukidhaniacho kuwa ni ujinga. Acha fikra huru zichanue bana...
 
hizo first class ni za vyuo gani maana kuna vyuo vingi vinasifika kwa kutoa first class tu lkn hamna kitu..navyo kumbuka kuna TO mmoja hvi alidisco coet kozi yake ilikua telecom engineering..kama ni vyuo vyenu vya kata mtapata tu hizo first class

Unamzungumzia Charles Kiombo kutoka Tosamaganga... Hahaha jamaa ni kichwa yule balaa yupe UDSM mwaka wa pili sasa anachukua Petroleum Eng.
 
Back
Top Bottom