The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Kwa kua kila mwaka kuna TO 1 kwa hiyo kunakua na 1st class ya GPA ya juu 1 tu? mkuu mwanamabadiliko utafiti wako umezingatia vigezo gani? Kozi wanazosoma, chuo wanachosoma au ni GPA kwa ma TO tu?
Last edited by a moderator: