Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,776
Huyu jamaa c ni mwalim sa hz anahangaika tu mtaani..!!!
Noo karudi chuo..., Now yupo hapa UDSM. ni kweli alikuwa mwalimu na alitufundisha sisi kipindi tupo Tosamaganga form six... But now karudi masomoni na anapiga petroleum Eng. Jamaa still bado yuko juu na ni jembe anajua vitu huyo balaa