First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

kwa elimu ya kwenye makaratasi tz tupo juu......watu wamesoma computer eng bt hakuna hata ka ant virus walicho tengeneza............
 
now dayz watu wanataka kuona umetengeneza mkwanja kiasi gani!watoto wako utawaachia urithi wa vyeti vya 1st class huku unavukishaga siku erroo?
 
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
acha kuanzisha thread za kitoto! sasa baada ya kumaliza hizo shule zenu utabandikwa nembo usoni kuwa wewe ulikuwa tanzania one! mm secondary nilipata madaraja mazuri tu ila chuo nikala pass 2.3 ,watu kama wewe walinicheka sana walifikiri mpaka maisha nitapiga pass! kumbe si hivyo bwana ,kuwa to ni historia tu
 
Hakuna lolote kwani wao wamezaliwa na majibu? Kila mmoja ana nafasi na uwezo wa kupata kile ambacho anaota kukipata, kinachohitajika ni jitihada tuu

hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani gpa 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma to(tz one- top 20), wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita super humans
 
ability is more important thna a big GPA. what is abig GPA with a gemtlemen guy drops u in an interview.what you need is hardworking in everythong you do ok....​
 
Unaishi kwa kukariri,mtafuta jamaa aliepiga first ud 2006 bcom na form 6 alipga div 3
 
Toka Lini mtu anaepewa Jet akashindana na mtumbwi.Kama kweli ni mashindano wote wawekwe ktk mazingira yanayofanana!
 
Siku watu wakiniambia GPA za hawa wafuatao nitaamini GPA inamaana katika perfomance in life..Bill Gates,Steve Jobs,Reginald Mengi,David Oyedepo,Bakhresa,Kikwete,Obama,Slaa.
 
we mleta maada unamjua gwiji la sayansi Albert Einstein?(nahc unamjua diamond na ommy dimpoz2!),jamaa aligraduate na Gpa mbaya kulko wote!lakini kafanya wonder level za kina newton."Education is what remains after you have forgoten everything you learnt frm school"(Albert Einstein).Gpa ni nn ktk maisha we mbulu.la?!
 
Nyie bisheni mana hamjui ,mi naongea fact tu hapa, sijakurupuka usingizini kuyaongea haya. Evidence zipo, vilaza wajitambue mapema

Du kijana unatisha. Unajuaje kama mwenzako ni kilaza? Mbona kijana ujiamini?
Swali moja- Hivi ukikutana na kijana chuoni tangia mdogo anatengeneza mifumo ya kompyuta na mnachukua masomo ya compyuta, unategemea utamshinda?

Tujiamini vijana watz na pia tuwe wakweli kwenye ukweli. Tunaweza na tuache kukatishana tamaa.
 
hahaha,bill gates ,steve jobs walidrop out of school...Siku watu wakiniambia GPA za
hawa wafuatao nitaamini GPA
inamaana katika perfomance in
life..Bill Gates,Steve Jobs,Reginald
Mengi,David
Oyedepo,Bakhresa,Kikwete,
Obama ,Slaa.
 
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
​akili za kitoto hizo......zero thinker
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom