Jamani nimekutana na watu wengi sana sasa wanaoamini kuwa
familia zinazoanza na first born msichana huwa zinapata bahati au baraka zaidi hasa
kwenye kipato......
Katika mazungumzo na watu....nimekuja kugundua kuwa hii imani ipo kwenye baadhi ya
jamii hasa pwani zanzibar,pemba,na jamii za wahindi pia....
Kuna dokta mmoja aliniambia yeye alipozaliwa mtoto wake wa kwanza msichana
akapata scholarship nje.....
Halafu mkewe akajifungua watoto wakiume watatu na hakusafiri tena
mpaka mkewe alipojifungua msichana tena....
Na wengine wanasema ndoa ikianza na mtoto wa kiume ni ishara ya matatizo
kwenye familia wakati wa kike ni ishara ya neema....
Swali hapa je umewahi kukutana imani hiii???????
Unalionaje hili jambo ukilinganisha na watu unaowajua
wenye watoto wa kwanza wasichana na wenye watoto wa kwanza wavulana???????
Mtoto wa kwanza kwa mama yupi?
Mtoto wa kwanza kwa mama yupi?
duh! hiyo ndio naisikia leo, ila kwa kule kwetu aisee ukipata first born men ndio unathaminika zaidi, watachinja mbusi sa kumvalisha mtoto (vichonyi) na vijisherehe visivyokuwa na kichwa wala miguu na ukifuliliza watoto wengi wa kike tu mmeo anatoka nje ya ndoa kutafuta wa kiume!
me 2, veri veri muchI mithi u
Mimi nawajua watanzania nawahindi wenye imani hii....
Nafikiri ni universal...........
duh! hiyo ndio naisikia leo, ila kwa kule kwetu aisee ukipata first born men ndio unathaminika zaidi, watachinja mbusi sa kumvalisha mtoto (vichonyi) na vijisherehe visivyokuwa na kichwa wala miguu na ukifuliliza watoto wengi wa kike tu mmeo anatoka nje ya ndoa kutafuta wa kiume!
Jamani nimekutana na watu wengi sana sasa wanaoamini kuwa
familia zinazoanza na first born msichana huwa zinapata bahati au baraka zaidi hasa
kwenye kipato......
Katika mazungumzo na watu....nimekuja kugundua kuwa hii imani ipo kwenye baadhi ya
jamii hasa pwani zanzibar,pemba,na jamii za wahindi pia....
Kuna dokta mmoja aliniambia yeye alipozaliwa mtoto wake wa kwanza msichana
akapata scholarship nje.....
Halafu mkewe akajifungua watoto wakiume watatu na hakusafiri tena
mpaka mkewe alipojifungua msichana tena....
Na wengine wanasema ndoa ikianza na mtoto wa kiume ni ishara ya matatizo
kwenye familia wakati wa kike ni ishara ya neema....
Swali hapa je umewahi kukutana imani hiii???????
Unalionaje hili jambo ukilinganisha na watu unaowajua
wenye watoto wa kwanza wasichana na wenye watoto wa kwanza wavulana???????