NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 590
Jaribu kuweka screen short ili tuone firmware yake. mfanii check hapa chini, inakuwa rahisi kukusaidia.
Kama hii Mkuu?? sina exatly software kama uliyo tumia hapo
Jaribu kuweka screen short ili tuone firmware yake. mfanii check hapa chini, inakuwa rahisi kukusaidia.
Kama hii Mkuu?? sina exatly software kama uliyo tumia hapo
sawa nimeona, ila firmware yake naona haijabadilika, ni 21.157.71.00.94. hiyo firmware unayosema jamaa aliweka Firmware Version 23.00, naona haijabadili chochote kwani bado ipo na ile ya kwake ambayo ni 21.157.71.00.94.
umeshajaribu ile ya blackpanther?
Mkuu kuna wanaandika ili na wao waonekane wamechangia lakini pumba tupu. Sikuona tatizo katika hilo huo ni uelewa wake tu.Mkuu tatizo lipo wapi muulize kama nimemuomba chochote zaidi ya kumsaidia tu,umeleta tatizo lako umeshindwa saidiwa hapa au kila kitu lazima uandike uonekane upo MTZ
Wakuu nina modem ya Safaricom E303 bahati mbaya kuna jamaa aliweka Firmware Version 23.00 bika kuanza na Default Airtel, kuna namna ya ku unlock hapo??
Cc: Paje Shaffin Simbamwene Kimox Kimokole
Inakubali vizuri kabisa, fuata tu maelekezo hapo juu!!
....
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
....
!!
Mkuu, mimi nimefuata hatua zote na nilipofika namba 4 nikaweka line ya tigo kwenye modem kisha nikaingiza modem kwenye computer na ikaanza kupiga kazi kama kawaida, sasa hicho kipengele cha ku-unlock tena hapo kwenye NB yako kwa hapa kwangu nafanyaje au ndo imetoka hiyo? Tafadhali niweke sawa ili nipumue maana nina wasiwasi kua itagoma tena (labda)
Hapana, ondoa wasiwasi haitagoma tena, iko poa
msaaada Huawei e303 HIlink hv Hiyo Ina unlokiwa vp maana driver zake haziwi installed
Dah mkuu hiyo nilifanikiwa kuiunlock juzi kati hapa sema pc imenifia na maujanja yote yalikuwamo humo
msaaada Huawei e303 HIlink hv Hiyo Ina unlokiwa vp maana driver zake haziwi installed
Una-assume kwamba kila anayepitia post kama hizi ni fundi na mtaalam kama wewe. Wengine sisi hatuelewi jinsi ya kufanya hizo unlock unazozisema, kwa hiyo tunaona ni madudu tu, tunapotezea.
Ungekuwa unaandika maelezo ya hatua kwa hatua, kuwaelimisha watu nini maana ya "unlock" na hizo "firmware", ungekuwa na msaada kwa watu wengi zaidi, kuliko hao elitist wenzako.
Ni ushauri tu. Ukiupenda ufanyie kazi, ukiuchukia upotezee!
kila e303
ina unlockiwa,
hivyo hvyo kwa ku upgrade firmware haijalish ni hilink
Mkuu tupe report, PC imepona utupe ujanjaDah mkuu hiyo nilifanikiwa kuiunlock juzi kati hapa sema pc imenifia na maujanja yote yalikuwamo humo
kila e303
ina unlockiwa,
hivyo hvyo kwa ku upgrade firmware haijalish ni hilink