Finally Huawei E303 unlocked

Finally Huawei E303 unlocked

hio update dashboard then chakachua hakikisha dashboard iwe orijinal na sio customized
 
Kwa inshu ya Modem E303c niliweka kwanza indian firmware, nikaitoa nikaweka Default Airtel Firmware, nikai-unlock kwa kutumia Huawei Code Writer, baada ya hapo nikaiupdate dashboard kwa version ya Mobile Partner v23 yenye 3 skin



mkuu tumwagie hiyo link ya india firmware Kimox Kimokole
 
Last edited by a moderator:
hii haunahaja ya ku-unlock download "join air" and install it halafu fungua na u-create connection ni simple.

mkuu hii mordem hii ya k3565 Rev 2 sio ZTE ni Huawei zile za ZTE ndio zinatumi join air hizi za huawei zinatumia mobile partner tatizi hii mordem ipo customized firmware natafuta firmware update ili niweze kuiflash@BinMgen
 
mkuu hii mordem hii ya k3565 Rev 2 sio ZTE ni Huawei zile za ZTE ndio zinatumi join air hizi za huawei zinatumia mobile partner tatizi hii mordem ipo customized firmware natafuta firmware update ili niweze kuiflash@BinMgen

Off topic Inabidi nikigongee like fatma... Nadhani we.ndio first lady wa hili jukwaa... Sijaona shory anayeshinda jukwaa la tech zaidi yako... Yaani hata kule kwenye mapenzi na chitchat huonekani...

Haya wakuu mwageni mautundu..
 
Off topic Inabidi nikigongee like fatma... Nadhani we.ndio first lady wa hili jukwaa... Sijaona shory anayeshinda jukwaa la tech zaidi yako... Yaani hata kule kwenye mapenzi na chitchat huonekani...

Haya wakuu mwageni mautundu..


nikweli mkuu yani haya mambo nnayapenda sana yapo kwenye damu natamani kujua mautundu mengi sana ila mambo ni kidogo kidogo ni kujifunza tu hakuna aliye zaliwa akawa anajua kilakitu bali ni bidii ya kujifunza tu
 
Last edited by a moderator:
uzuri ni kuwa hizo link nilizoweka (Firmware na Dashboard) zinafanya kazi kwenye PC na Mac OSX
 
vipi kuhusu ku-unlock hii Huawei E172 ya Airtel mbona nimejaribu ku-update firmware imegoma lakini nimeweza ku-update dashboard.
 
jamani mi nisaidieni namna ya ku unlock modem yangu aina ya Huawei EC122
 
Kwanza hiyo K3565 ni ZTE sio HUAWEI. Hivyo huwezi kutumia firmware hii.
Nimekujibu kwenye PM yako uliyonitumia na links Fatma

Wakuu kuna modem za huawei K3565 na zinafanana hivyo hivyo kama ZTE ni kwamba ZTE walikopi kila kitu kwa Huawei.
 
wadau nimejaribu kufuata procedurez za kuanlock modem ya huawei EC 122 nimefanikiwa kila kitu but nilipojarbu kuweka chip nyingine nje ya ZANTEL ilinigomea na kuandika "only the specified UIM card can be used on the device" na nilipoendelea kujaribu ikaniletea ujumbe huu Error: the connection attempt failed bcoz the modem or other connecting device or the remote computer is out of order" msaada wadau. SHUKRANI
 
Back
Top Bottom