Finally Huawei E303 unlocked

Wakuu naomba mnielekeze how to Debrand it kuna moja ya huawei E303 nimenunua kwny vodashop haitak kusoma network ata kwny dashboard yake ya voda nikamua kuunlock ili nijarib kwa chip nyingine naona tatizo bado lile lile nataka kuirudisha kwa wahusika.
 
Wakuu naomba mnielekeze how to Debrand it kuna moja ya huawei E303 nimenunua kwny vodashop haitak kusoma network ata kwny dashboard yake ya voda nikamua kuunlock ili nijarib kwa chip nyingine naona tatizo bado lile lile nataka kuirudisha kwa wahusika.

imekula kwako hiyo kaka utairudishaje wakati ushaichakachua?
Je utawaeleza nini hadi wakuelewe hao viumbe?
Ila nisikukatishe tamaa nguli wapo watakusaidia kusolve........ Kimox Kimokole, e2themiza mswala wenu huo.
Alafu hivi yule malkia wa hili jukwaa @Fatma Bawazir kapotelea wapi?
 
Last edited by a moderator:
Wakuu naomba mnielekeze how to Debrand it kuna moja ya huawei E303 nimenunua kwny vodashop haitak kusoma network ata kwny dashboard yake ya voda nikamua kuunlock ili nijarib kwa chip nyingine naona tatizo bado lile lile nataka kuirudisha kwa wahusika.

imekula kwako hiyo kaka utairudishaje wakati ushaichakachua?
Je utawaeleza nini hadi wakuelewe hao viumbe?
Ila nisikukatishe tamaa nguli wapo watakusaidia kusolve........ Kimox Kimokole, e2themiza mswala wenu huo.
Alafu hivi yule malkia wa hili jukwaa @fatma Bawazir kapotelea wapi?
 
Last edited by a moderator:
imekula kwako hiyo kaka utairudishaje wakati ushaichakachua?
Je utawaeleza nini hadi wakuelewe hao viumbe?
Ila nisikukatishe tamaa nguli wapo watakusaidia kusolve........ Kimox Kimokole, e2themiza mswala wenu huo.
Alafu hivi yule malkia wa hili jukwaa @fatma Bawazir kapotelea wapi?

Aende akadownload Dashboard ya Vodacom kisha aiweke kwa mtindo kama ule alioutumia kuichakachua
 
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared

Kimox
the Instructor

Thanks!!

much appreciated...nimeunlock ya vodacom (E303) kwa msaada wako!! thank you so much
 
Nahitaji ku-unlock Huawei E303s-1 modem, natumia DC – Unlocker 2 Client v1.00.0975.
Nina-select manufacturer kisha nina-select model, ina-detect modem.
Kwenye ‘unlocking’ nakutana na hizi options:
-Read Unlock code and auto enter to modem.
-Read Firmware code.
-Generate unlock code by IMEI.
-Generate firmware code by IMEI.
(i) Nifanye nini hapa?
(ii) Mbona kama inahitaji internet connection au haihitaji?


CC: CalvinPower, Mariposa, gkiwango, Don David, chief-mkwawa, Sajy, elmagnifico, njunwa wamavoko, Kimox Kimokole, e2themiza.
 
Last edited by a moderator:
Nahitaji ku-unlock Huawei E303s-1 modem, natumia DC – Unlocker 2 Client v1.00.0975.
Nina-select manufacturer kisha nina-select model, ina-detect modem.
Kwenye ‘unlocking' nakutana na hizi options:
-Read Unlock code and auto enter to modem.
-Read Firmware code.
-Generate unlock code by IMEI.
-Generate firmware code by IMEI.
(i) Nifanye nini hapa?
(ii) Mbona kama inahitaji internet connection au haihitaji?


CC: CalvinPower, Mariposa, gkiwango, Don David, chief-mkwawa, Sajy, elmagnifico, njunwa wamavoko, Kimox Kimokole, e2themiza.


Fuata maelekezo ya Main Post Ndugu
 
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared

Kimox
the Instructor

Thanks!!
mkuu mimi nina modem ya vodafone k3570-z lakini haisomi kabisa line nashindwa kuichakachua, nifanyeje wadau? msaada tafadhali
 
Last edited by a moderator:
vipi Namna ya ku unlock iphone 4 au 3gs?? mwenye idea please!!ninazo jamaa kanitumia toka Malaysia ila zipo locked!
 
Wakuu nina modem ya Safaricom E303 bahati mbaya kuna jamaa aliweka Firmware Version 23.00 bika kuanza na Default Airtel, kuna namna ya ku unlock hapo??

2qkl9vd.jpg



Cc: Paje Shaffin Simbamwene Kimox Kimokole
 
Back
Top Bottom