Finally Huawei E303 unlocked

umeeahtumia HIlink ww??? nivema ungekua umeiona ndo unijibu..... dashboard updater na firmware updater znatumia COM ports kufanya kaz ... hz HIlink hazitumii kitu hyo... dashboard yake inafunguka kama tab ya browser..

katika ku google nlifanikiwa kupata adress moja hv ukiipaste driver znajiinstall still pc ilishndwa kusoma Moderm ipo com port gan.... firmware nnayo tayar kasheshe n jins ya kuiweka
Jaribu hapa
 
Mkuu tupe report, PC imepona utupe ujanja

Mkuu mi nlifanaya kama gKiwango kwenye hiyo link ila baada ya kumaliza kucopy vile vile vimstari nakuvipaste katika ile file kama notepad kwenye installation folder ya mobile partner nlienda nakuifunga mobile partner maana hua inafunguka yenyewe baada ya kumaliza hio process ya kuallocate drivers alafu nikaiunlock ile modem kwa njia ya kawaida ya kutumia airtel firmware ambayo kuna member humu ndani alioneshaga maana ss ivi ile firmware inakua inaweza kudetect modem as it is in gsm mode we cha msingi usiichomoe tu baada ya kuadd zile lines na kuallocate driver ilipo
 
Wadau naombeni msaada jinsi ya ku-unlock hii modem hua haisomi port nadhani ina security kubwa sana.
 
Wadau naombeni msaada jinsi ya ku-unlock hii modem hua haisomi port nadhani ina security kubwa sana.

Hii kitu mbona inapiga mzigo mkuu, download dashboard yake original from the internet achana na ile inayokuja kwenye memory ya modem ambayo iko modified kidogo na voda, then chukua na firmware upgrade yake kwenye google. Upgrade hiyo kitu, mbona inasomeka au machine yako imeshindwa vipi kumdetect jamaa! nilipiga moja model hii ikaitika bila hata shida
 
Hii kitu mbona inapiga mzigo mkuu, download dashboard yake original from the internet achana na ile inayokuja kwenye memory ya modem ambayo iko modified kidogo na voda, then chukua na firmware upgrade yake kwenye google. Upgrade hiyo kitu, mbona inasomeka au machine yako imeshindwa vipi kumdetect jamaa! nilipiga moja model hii ikaitika bila hata shida

mkuu hebu nisaidie link yake, hii ipo tofauti sana na zile common za e303
 
mkuu hebu nisaidie link yake, hii ipo tofauti sana na zile common za e303

Link hii hapa Huawei_e303_hilink_firmware_update
na kama bado itakusumbua unajua hiyo kwa sababu ni hilink so unakuta ina mode mbili, unaweza ukaswitch iingie katika modem mode, ukifungua browser yako ingiza "http://192.168.1.1/html/switchProjectMode.html" kuaccess hiyo sehemu ya kuswitch mode, drivers ikiomba utainstall kawaida tu zipo kwenye modem... hapo itasomeka port yake vizuri tu... afu ukimaliza kuchakachua unairudisha katika hilink mode kawaida kupitia link hiyo hiyo...
 
mkuu hebu nisaidie link yake, hii ipo tofauti sana na zile common za e303
Mkuu em chukua hii link ndiyo niliyopitiapitia nikaona jinsi ya kuiweka into modem mode ili uone port yake kwa urahisi japo haielezei jinsi ya kuichakachua, ila ukishapata port obviously kuichakachua ni njia ya kawaida kwa kufanya update ya firmware tu.... Hii link itakupa maelezo ya kina

Huawei HiLink modems (E303, E3131, etc.) - Page 2
 
Last edited by a moderator:

Mkuu naona wabongo wamesimama sana siku hizi, hiyo hadi ishatengenezewa instructions zimetupwa kwenye net...
Bado tu sasa kutengeneza software za kututambulisha duniani humu
 
Mkuu naona wabongo wamesimama sana siku hizi, hiyo hadi ishatengenezewa instructions zimetupwa kwenye net...
Bado tu sasa kutengeneza software za kututambulisha duniani humu

naona Vijana wamekuja juu zamu hii hamna kulala
Tusibiri madevelopers wetu walioko shule sasa watakuwa na attitude gani juu ya Hii industry na kuitangaza Bongo
 
Thanks wakuu its works, nimefanikiwa ku- unlock. Nashukuru kwa ushirikiano.thanksssssssssssssssssssss.
 
Thanks wakuu its works, nimefanikiwa ku- unlock. Nashukuru kwa ushirikiano.thanksssssssssssssssssssss.

Mkuu yangu bado inanigome hasa pale wakati wa kui-upgrade..., inatoa error ambayo ni ina-fail to get device info.
nimegoogle wee wapi nimeclose apps zote lkn bado mkuu...
naomba msaada wako
 

kuifanya isome port ndio pagumu nikifungua link http://192.168.1.1/html/switchProjectMode.html inafungua white-page tu alafu inadisconnect modem wakati wa ku-update modem haiwi detected
 
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared


Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii



Kimox
the Instructor

Thanks!!

Thanks mkuu
 
Back
Top Bottom