Finally Huawei E303 unlocked

Finally Huawei E303 unlocked

nimefanikiwa ila naogopa kutoa hii modem je ni unlock vipi sasa maana umesema nikumbuke ku unlock.. Kimox Kimokole
 
Last edited by a moderator:
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared

Kimox
the Instructor

Thanks!!

ok it work but naogopa kurudisha line ya voda..
 
sory napataje airtell firmware?.....can u give a link ya kuidownload?
 
vipi kuhusu ku-unlock hii Huawei E172 ya Airtel mbona nimejaribu ku-update firmware imegoma lakini nimeweza ku-update dashboard.
hiyo e172 mkuu ya airtel kma una moyo tulia nayo ila ka itakshnda jarbu kuuza mana jinsi walivyo icustomize hta firmware haitaki nlishaangaika nayo sna na firmware zke zpo nyng net ila haikubali bora ununue za voda hawakazi sna mana nlinunua nyngne ka hyo ila ya voda firmware fasta ika update
 
assante sana kaka..ila km kuchakachua modem kutawashinda nabado unataka kusurf kwakutumia line yeyote ile bila kuchakachua modem yako install nokia pc suite kisha enjoy kusurf kwalain yeyote kwenye modem yeyote amabayo haijachakachuliwa.
 
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared

Kimox
the Instructor

Thanks!!

Mkuu kimox thanx sana kwa hayo maujanja sema nina swali kidgo,,do u think we can use the same trick kwa Huawei E153?
 
thanks your the best nimefanikiwa ku-flash lakini
sijaona option ya kuweka unlock code
Ni muhimu/lazima kuiweka coz kwa sasa natumia na so far haija leta shida yoyote?

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
[/B]
 
@
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared

Kimox
the Instructor

Thanks!!

-->solution yako inafanya kazi uzuri lakini mwisho umeweka password kuwa unloc ntaanlock vipi while sina NCK,kama utaniruhusu niweke software ya kuanlock brother au PM iendelee,best cheers:crazy:
 

Attachments

Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared

Kimox
the Instructor

Thanks!!
Asante mkuu kwa mautundu
 
Nilifanikiwa ku unlock modem ya huawei e303 ila sijui namna ya ku update dashbord na pia jana baada ya ku unlock niliweka line ya tigo ikakubali kusoma tatizo ni kwenye internet inaandika Incorrect APN. Naomba msaada nifanyeje hapa kusolve hii kitu.
 
Nilifanikiwa ku unlock modem ya huawei e303 ila sijui namna ya ku update dashbord na pia jana baada ya ku unlock niliweka line ya tigo ikakubali kusoma tatizo ni kwenye internet inaandika Incorrect APN. Naomba msaada nifanyeje hapa kusolve hii kitu.
 
Back
Top Bottom