Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kimox the Instructor
Thanks!!
sory napataje airtell firmware?.....can u give a link ya kuidownload?
ok it work but naogopa kurudisha line ya voda..
ahahahaaaaaa
hiyo e172 mkuu ya airtel kma una moyo tulia nayo ila ka itakshnda jarbu kuuza mana jinsi walivyo icustomize hta firmware haitaki nlishaangaika nayo sna na firmware zke zpo nyng net ila haikubali bora ununue za voda hawakazi sna mana nlinunua nyngne ka hyo ila ya voda firmware fasta ika updatevipi kuhusu ku-unlock hii Huawei E172 ya Airtel mbona nimejaribu ku-update firmware imegoma lakini nimeweza ku-update dashboard.
hyo maumivui need yOUR HELP MKUU
AIRTEL E 173
IMEI862910017603785
plzz direct me how to config i have neva try
hyo maumivu
nani kaweka hzo imei weweusipende kuweka imei namba zako hadhari kiusalama zaidi..kuna wengne wakipata hizi namba umeumia kaka.so pm.
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kimox the Instructor
Thanks!!
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
[/B]
thanks your the best nimefanikiwa ku-flash lakini
sijaona option ya kuweka unlock code
Ni muhimu/lazima kuiweka coz kwa sasa natumia na so far haija leta shida yoyote?
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kimox the Instructor
Thanks!!
Asante mkuu kwa mautunduNimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kimox the Instructor
Thanks!!