Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Status
Not open for further replies.
Hivyo vioja vya udini na ukabila vina ukweli mkubwa kwasababu wewe binafsi ni mmoja wa wanaonufaika na ukabila huo huwezi kuliona tatizo hilo!

Chama
Gongo la mboto DSM

-Mbaya zaidi anayeongea Udini ni TUNTEMEKE ambaye nimekua nikiambatana nae kwenye kitimoto

Ukabila ni state of mind na mara nyingi watu ambao ni short sighted ndiyo huutumia.
 
Kwa wale wanaonifahamu hapa jamvini wanajua mimi nafanya nini. Sioni sababu yoyote ya kujieleza kwako wewe mtetezi wa uozo wa DHAIFU na magamba. Hunijui wala sina mpango wa kutaka unifahamu hunipunguzii wala kuniongezea chochote kile.

Sioni unachokifanya zaidi ya kumuonea wivu mwanaume mwenzako; yaani kama mambo fulani ya kidemu umeingia nahoja zako kike mpaka umeatuaharibia mjadala wetu; mapimbi kama wewe niwajue ili iweje?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kwa wale wanaonifahamu hapa jamvini wanajua mimi nafanya nini. Sioni sababu yoyote ya kujieleza kwako wewe mtetezi wa uozo wa DHAIFU na magamba. Hunijui wala sina mpango wa kutaka unifahamu hunipunguzii wala kuniongezea chochote kile.

kwani wewe ni nani nduguyangu?..MODERATOR au?maana naona umeshikilia hapohapo kwenye kukujua au kutokukujua.
AU WEWE NI MTOTO WA MBOWE NINI?.
Aaah,whatever,kukujua au kutokukujua hakuniongezei wala kunipunguzia vitamin yeyote aisee.
 
Mkakati wao huo mpya ulikuwa unapwaya sana humu kwenye mitandao. WJM amepewa( amejipa?) kazi hiyo. Inaelekea ataimudu kwa kuwa mara zote hakimbii mashambulizi kama akina Nape. Nawaomba akina Kinana wamuwezeshe kwa sana tu. Nimesikia wanaanzisha upya chuo cha makada wao. Wasimsahau WJM. Wampeleke huko. Wampike aive vizuri zaidi kisiasa na kiitikadi.
 
-Mbaya zaidi anayeongea Udini ni TUNTEMEKE ambaye nimekua nikiambatana nae kwenye kitimoto

Ukabila ni state of mind na mara nyingi watu ambao ni short sighted ndiyo huutumia.

Kwa maana hiyo hapo Chadema mpo wengi sana short sighted na ndio sababu wananchi wanawaogopa kuwapa uraisi!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kwa story za kutunga ndio mwenyewe. Siku moja tulikuwa tunaongea kupitia PM basi acha anishupalie ananijua hivyo nimpe namba yangu anipigie simu au nimpigie mimi na namba yake akanipa. Alikolalia yeye Le Mutuz mimi ndiko nilikoamkia. Nikamuuliza kama unanifahamu mimi ni nani? akaanza kung'aa macho na kisha akaingia mitini. Hanijui hata chembe ila ni mzuri kwa kutunga story akienda kule Hollywood anaweza kutengeneza mchuzi mzuri sana.

Le Mutuz mbona anasema anakujua mpaka mdingi wako!
 

When its out of nobility, credibility, maturity and wisdom? ... I Salute your OBSERVATION!!!!
 

Malipo yanatokana na idadi ya post zinazobandikwa JF, na hapa Jukwaani ni rahisi kuwatambua mashabiki wanaofaidika na malipo haya na wale ambao hawamo katika kadhia hii. Mfano mzuri kutambua hili kagua post za W. J. Malecela na Mchambuzi juu ya habari zinazohusu CCM.
 
Last edited by a moderator:
Ahaaaa lol! Elungata na Chama kumbe ni mtu yule yule!!!! umechanganya madawa 🙂🙂...

kwani wewe ni nani nduguyangu?..MODERATOR au?maana naona umeshikilia hapohapo kwenye kukujua au kutokukujua.
AU WEWE NI MTOTO WA MBOWE NINI?.
Aaah,whatever,kukujua au kutokukujua hakuniongezei wala kunipunguzia vitamin yeyote aisee.
 

Comrade Bala,

Wewe ni Miongoni mwa wanachama wachache wa CCM wenye ukomavu wa hali ya juu kwenye mijadala.

Michango yako inatupeleka enzi za akina DrWho,Dua,FikiraDuni,Mkandara,Waberoya,WoS,Kiranga, na wengineo wengi

-Ni fedheha sana kuona baadhi ya viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa tena wasomi wakiachana na hoja na kwenda personal vendatta

-Ni dalili za fikra finyu.Political Maturity imekua anasa ya mbali.

-Hatujadili itikadi wala zofauti za kisera na kutetea hoja yako au kupinga hoja ya mwingine kwa misingi hiyo

-Jenerali Ulimwengu alituambia siku moja tumekua taifa dogo la watu wadogo.Hapa ni kwa kuwa tumepunguza mno kufikiri,trivialization ndiyo easy Exit

-Ukisoma mitandao ya nchi nyingine utaona tofauti.CHADEMA na CCM tunatakiwa tufanye better than this.Tunatia aibu.

Bala karibu kule jukwaa la Great thinkers maanake kule hawa waimbaji wa muziki wa mwambao hawathubutu kule.Hapa naona mapigano ya koo tu
 
Last edited by a moderator:
Kama WJM ndie FMES unalolisema hapa ni kweli kabisa. Ukimbana kikamilifu kwa hoja anakimbilia kutangaza kukujua sana tu.
 

- Kijana mdogo hapa hakuna kujuana hapa wewe nenda kauze mbao za baba yako fisadi!!

Le Mutuz!!
 

sasa si ungemfata ukampe ushauri wako huo.au unge mPM.
Wewe umeona hapa jf ndo pa kupeana ushauri wa mambo binafsi?tena kwenye jukwaa la siasa.?
Ungemwambia,''bro Le mutuz twenzetu PM kuna ushauri nataka kukupa ''.SIMPLE..
 
hahahahah lol! nimuonee wivu kwa lipi? la mtu mzima kufanya mambo ya kitoto na kukimbia responsibilities zake kama Mume na Baba? sasa tangu lini pimbi akajibizana na binadamu? We unachekesha sana!!!! lol! huna nguvu ya hoja banaaa kama ilivyo kawaida ya magamba. Mkishindwa hoja mnakimbilia maneno machafu kama yule Mwigulu.

Sioni unachokifanya zaidi ya kumuonea wivu mwanaume mwenzako; yaani kama mambo fulani ya kidemu umeingia nahoja zako kike mpaka umeatuaharibia mjadala wetu; mapimbi kama wewe niwajue ili iweje?

Chama
Gongo la mboto DSM
 

- Utoto ni mtu mzima kama wew na mke na watoto wako kuishi kwa baba, na kufanya kazi kwa baba1 ha1 ha! ha1 yes mimi ni big Celeb na Big Public figure so lazima unijue kwa nje, ulipokuja New York umenikuta so is hapa bongo muziki wangu mzito huuwezi kijana mdogo suibiri kupea amri na mke, halafu next time mfundishe Slaa amrudie mkewe kwanza
halafu punguza kulewa mpaka hujielewi maan huku bongo hiyo ni hatari sana kule New York watu walikuwa wastaarabu sana sio huku!!

Kidumu CCM!!

Le Mutuz!!
 

Comrade Bala,

Wewe ni Miongoni mwa wanachama wachache wa CCM wenye ukomavu wa hali ya juu kwenye mijadala.

Michango yako inatupeleka enzi za akina DrWho,Dua,FikiraDuni,Mkandara,Waberoya,WoS,Kiranga, na wengineo wengi

-Ni fedheha sana kuona baadhi ya viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa tena wasomi wakiachana na hoja na kwenda personal vendatta

-Ni dalili za fikra finyu.Political Maturity imekua anasa ya mbali.

-Hatujadili itikadi wala zofauti za kisera na kutetea hoja yako au kupinga hoja ya mwingine kwa misingi hiyo

-Jenerali Ulimwengu alituambia siku moja tumekua taifa dogo la watu wadogo.Hapa ni kwa kuwa tumepunguza mno kufikiri,trivialization ndiyo easy Exit

-Ukisoma mitandao ya nchi nyingine utaona tofauti.CHADEMA na CCM tunatakiwa tufanye better than this.Tunatia aibu.

Bala karibu kule jukwaa la Great thinkers maanake kule hawa waimbaji wa muziki wa mwambao hawathubutu kule.Hapa naona mapigano ya koo tu
 
Last edited by a moderator:
Mbona unajidhalilisha kweli? Kurudi nchini unavamia vyeo left and right? Kama kweli unaipenda ccm, si tungekuona kabla. Just like all of them! Ni mahali pa kufanya ufisadi. Subiri Mtera ukapambane na Livingtone! Lugha zenu zitafanana


 
Usisahau kama hii ni JF where we dare to talk openly...kwanini nifanye siri? labda ushauri kama huu unaweza kumsadia mtu mwingine pia.

sasa si ungemfata ukampe ushauri wako huo.au unge mPM.
Wewe umeona hapa jf ndo pa kupeana ushauri wa mambo binafsi?tena kwenye jukwaa la siasa.?
Ungemwambia,''bro Le mutuz twenzetu PM kuna ushauri nataka kukupa ''.SIMPLE..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…