Finally: BBC speaks the truth


Argument ya watafiti ..wengi ..inadhihirisha uwongo wa Kagame na mbinu ya kutaka kuwa tawala kiakili Maisha yote kila wanapokumbuka Hiyo genocide.

Watafiti wamesema hivi ..,mwaka 1994 Wakati MAUWAJI yanatokea Watutsi wengi walikuwa nje Tanzania,Congo,Uganda ..inadaiwa kuwa population ya Watutsi walikumbwa na mapigano ni Kama 500'000 ....Baada ya MAUWAJI mwisho watafiti waligundua kuwa Watutsi 300'000 walikuwa wamebaki ...kabla ya wengine kuanza Kurudi kutoka kwenye ukimbizi.
Theory Hii ya watafiti ambayo hata BBC wanaongelea kwa kuwahoji Hao watafiti ni kuwa ..Kama Watutsi waliouliwa walikuwa 200'000 ....basi Hii Ina maanisha kuwa Wahutu hasa wenye msimamo wa kadiri waliokuwa wakiwahifadhi Watutsi ...na wengine ambao waliuliwa na Askari wa RPF walipokuwa wakiingia mjini Ndio wengi.

Hoja ya Jumuia ya kimataifa inajikita kwenye kuhoji kwa nini Rwanda wameamua ku dharau ukweli kuwa wapo Wahutu wengi wasio na hatia waliuliwa ...kwa nini hawakumbukwi??
 
Huyu mwandishi wa habari na mchunguzi wa makala haya, Jane Corbi aatisha, ni zaidi ya mwandishi na nafikiri anaweza kuwa hata jasusi!!! Kuweza kufnya mahojiano na watu wote hao na kuweza kupita na kushiriki commemorations zote hizo ilikuwa balaa, sina hakika kama kuna mwandishi wa habari yeyote wa Kitanzania ameshawahi kufanya investigatve journalism yenye compoents za high intellgence kama hii......Lakini kitendo cha kuweza kupenya vizingiti vyote hivyo unnoticed inaprove kabisa Rwanda is very very permissible, ile boasting na pride yao kwamba wana intelligence ya kutisha iko wapi??
 
Kitendo cha kuita mauaji ya 1994 kama genocide against Tutsi ni uwongo uliovuka mipaka, lakini mbaya zaidi hautengenezi hali ya reconcilliaton badala yake unatengeneza madaraja na visasi baina ya Wahutu na Watutsi, naamini Wahutu watakuwa na kinyingi sana na watakuwa wanaumia ndani kwa ndani, sasa watu wa aina hii ni wabaya sana, hawachelewi kuja kuchukua hatua siku moja,
 

Duh
Sijaiona na sijui jinsi ya ku download from utube....help!!!
 

Sikujua hili!
Ss km wote wakimkomalia atavunja balozi ngapi? Nawaza kwa sauti!
 
ni kweli, na swali hilo ndilo lililomfunga ingabire hadi leo, alienda kwenye makumbusho akahoji mbona mafuvu ya wahutu siyaone yakiwa yamewekwa mark? kagame na RPF waliua watu wengi sana na hata baada ya hapo wameuza zaidi ya watu milioni tano congo. damu inalia ardhini na kama hana akili za kujirudi na kuweka mambo sawa mapema, atakuja kufa kwa aibu kama gaafi. kiburi chake sasa kimefika mwisho.
 
hapo nakubaliana na wewe. na unakumbuka balozo wao wa UN alitaka kupeleka pendekezo mauaji ya kimbari rwanda yatambulike na UN kama ni genocide against tusi. kumbe kuna waliouawa wengi ni wahutu, sasa mbona mauaji ya wahutu hayakumbukwi? halafu, kayumba nyamwasa na wengine walioshiriki kwenye mauaji hayo (ambao pia ni wanted by several courts) wamekiri kwamba wakati RPF walipoingia kigali walikua wanau wahutu watoto wamama everybody wanayemkuta kwasababu ya hasira, RPF walikuwa kama wamechanganyikiwa kwa kuona watusi wenzao wameuawa wakawa wanafanya revange. hivyo ipo pia genocide against hutu, hakuna ubishi. ikumbukwe pia jeshi la Rwanda lilipofuata na kuua walefu ya watoto na wakina mama waliokuwa kwenye makambi ya ukimbizi kibeho na congo. ameteketeza watu wengi sana congo wengi ajabu. kagame ameua watu wengi kuliko hata waliokufa kwenye genocide.
 
kagame anahitaji kumwachia ingabire. lakini hata hivyo ameshachelewa, dunia imeshaona kila kitu na hata akifanya chochote moto uliowashwa huu hautazimwa hadi kieleweke. nampa pole sana.
 
kagame anahitaji kumwachia ingabire. lakini hata hivyo ameshachelewa, dunia imeshaona kila kitu na hata akifanya chochote moto uliowashwa huu hautazimwa hadi kieleweke. nampa pole sana.

Nasikia ame appeal kwenye mahakama ya haki za binadamu ya Africa...(sijalishika jina vizuri la hiyo mahakama)...na kesi itasikilizwa Arusha...lets hope watamuachia aweze kugombea urais...hivi kwa nini watu wanapenda kubinafsisha madaraka kwa mbinu zote?????
 

sawa mama.
 

Hapo nilipoweka bold - unajua wazungu wakati wanakutumia huwa wanakufichia madhambi yako lakini wanaya document yooote kimya kimya bila ya kelele. Hapo siku ukiamua kujifanya kidomodomo na wakiwa hawana tena shida na wewe basi ndiyo hizo siri zinavujishwa kwenye vyombo vya habari na wewe utabaki kulalama tu.

Wamewafanyia hivyo akina Saddam, Noriega, na hata Robert Mugabe alipotaka kuwamaliza kabila lile kabila la mpinzani wake (nadhani ni Chief Muzorewa).

Sasa kibao kimemgeukia brother K wakati alikuwa kipenzi na akimwagiwa misaada kede kede.
 
Aminiusiamini: ......." Tanzanians knew about Kagame's plans to shoot...." Well, I am Tanzanian and I did not know. You either provide a source, audio, photo or.....it never happened.

Wewe ulikuwa wapi mwaka 1994? Ni kweli Watanzania (viongozi) waliokuwa wanasuluhisha mgogoro huu walijua kabisa na ndiyo maana mara ya kwanza Rais wa Rwanda na Burundi walipanda ndege moja kurudi makwao na kwa kuogopa hilo, waliokuwa msituni hawakuitungua.

jee wewe ulikuwa katika watawala kipindi hicho?
 
Mkuu no one is denying the genocide, what the BBC Documentary has argued successfully is that the genocide was not only two sided but also that MORE Hutus were massacred.
And that the spark of the genocide was Kagame himself on ordering the MURDER of a sitting president Habyarimana.
The documentary also shows mass murder of Hutus in the Congo- in millions , as ordered by Kagame.

Kagame should equally foot the blame as the other Hutus.

Tanzania should have interfered?
You must be joking, madeni ya kumtwanga Idi Amin bado yanatuendesha several decades after the war!
The UN mandated intefering force is the logical way to treat Rwanda.
 
Mmmnnnhhh...ukishakuwa ni raia wa nchi tajiri unadhani unagusika kirahisi...sana sana ambacho wangeweza kufanya ni kumtimua nchini ...nothing more...napo wawe na sababu...

Angekuwa ametokea nchi za Afrika angesha restishwa in pici kabla haja publish...

Ukute hata sasa wanamtamani lakini watamfanya nini huku wanajua kumgusa ni kutangaza war na dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…