Finally: BBC speaks the truth


Am sorry for confusion.But i must also say to believe or not to believe,it does not matter right now.Millions of people have perished already.we could have prevented of course.

I dnt hate Kagame,but i think he should just let go of this "genocide" issue. I was very angry in fact when wananchi walipokuwa wanazimia na kulia uwanjani.This is not fun. This is not something you want to do all the time. Haina maana zaidi ya kutonesha vidonda kila leo. Unasbabisha mtu kulipiza kisasi .

My girlfriend she was tutsi her brother was killed in the war.But she also says,the tutsi also killed alot of hutus and cover the massacre carefully. No one is a victim in this plight.

And lets be fair here what about the innocent hutus women and kids who died in the war?

Kuhusu Tanzania part, there are numerous proof and classified info displayed the role of Tanzania directly and indirectly before the war and how they could have prevented it. But they kept quiet why?


Hakuna hata nchi moja iliingilia france wanapiga kelele sasa hiv washenz wakati wao walikimbia. Hawa UK walikuwa wapi? Leo wanaleta habari haziwahusu?
Mbona Bush alienda iraq kwa kisingizo cha weapon of mass destruction alipata? Mbona BBc hawaongelei hayo na mengi tu ambayo mzungu amefanya mabaya africa?
Lazima tukubaliane kama international society and as neighboring country we owe an apology to these people for our failure to prevent this thing. Sijui africa union ina maana gani.
 
hahahah...wahutu wote wameishajipa uraia watanzania na kikwete anawakubali,na hawawezi kujitambulisha kama wahutu kwa sababu za aibu kutokana na mauaji waliyoyafanya
 
Last edited by a moderator:

Hapa upuuzi uko wapi? Yaani kusema kuwa Kagame alihusika kuangusha ndege iliyomwua rais aliyechaguliwa ni upuuzi? Serikali ilipewa nafasi kujibu data zilizomo kwenye hiyo documentary kabla haijarushwa hewani hawakufanya lolote. Sasa kipindi kinarushwa hao wabunge wanasema kile kipindi kinapinga kutokea mauaji ya kimbari. Hawakanushi chochote kwenye substance ya mada ila wanasema hao BBC wanapinga kutokea kwa genocide. Hapa NANI MPUUZI?
 
5,000,000 hutu died after liberation???? duh kweli genocidaire mmeamua kuleta uongo to the point that even your math does not add up. Wafe watu milioni tano na dunia isijue? hii kali.

The horrifying results of mob violence at its most extreme were revisited by reporter Jane Corbin in This World: Rwanda's Untold Story(BBC Two). This intense documentary set out to entirely up-end what the world understands happened during the Rwandan genocide in 1994, when a million people were slaughtered in a bloodbath lasting 100 days.

Corbin began by looking at how, 20 years on, Rwanda's is one of Africa's fastest growing economies and the country's president, Paul Kagame, enjoys the support of the international community. There followed an account of the tensions between the minority Tutsi and majority Hutu populations that led to the genocide, and how Kagame – through the intervention of his rebel force, the Rwandan Patriotic Front, came to be seen as the hero who stopped the killing.

That was the last time in the film that anything generally accepted wasn't called into question. Interviewing academics, survivors and former henchmen of Kagame, Corbin embarked on a forensic deconstruction of the official history of the genocide (which puts the blame entirely on the Hutus). Studies by two American researchers suggested that hundreds of thousands of Hutus could have been killed too, possibly by RPF forces. A UN report expressing similar concerns had allegedly been suppressed. Belgian historian Prof Filip Reyntjens suggested that Kagame could be one of the "most important war criminals still in office today".

The allegations kept coming: of rigged elections and political oppression, of pressure put on official investigations into the genocide, assassination attempts on Kagame's exiled ex-colleagues, and Rwanda's role in the deaths of five million people in the wider conflict in the Congo region. The numbers were mind boggling, the answers few, the claim that the UK is the largest contributor to the near £500 million annual foreign aid that helps keep Kagame in power, deeply concerning.

This World: Rwanda's Untold Story, BBC Two, review â€" 'intense' - Telegraph


Mkuu @
Commanche siandiki jambo kwasababu napenda kuandika tu la hasha kabla sijandika chochote napitia kwanza maandiko mengi tena kutoka vyanzo mbali mbali ikiwa bado una kiu niambie nikuletee zaidi.Kifupi ni kwamba kipindi Rwanda inaomba kujiunga na EA waTanzania wengi tulipaza sauti ya kuikataa Rwanda lakini serekali ya Mkapa haikutaka kusikia ushauri wa wananchi kama ilivyokataa kusikiliza ushauri wa Mwl Nyerere wakati wa kuiuza NBC.

Leo Tanzania inashuhudia vituko vya Rwanda ndani ya EA imeungana na nchi zingine mwanachama kusigina interest za Tanzania na kufikia hatua ya kumtisha Rais wa JMT.Ni Kagame kipenzi cha nchi za magharibi sasa anaanza kugeukwa machafu yake yote yanaanikwa hadharani.Jiulize ni kwanini Kagame amekuwa akitoa support kubwa sana kwa Kenyatta dhidi ya mashitaka ICC ?
 
No clue what you are talking about....sound like confused or no idea.
 
We are very sorry for Kagame and Gang!
YOU COULD PUT MUFFLERS ON MOST RWANDANS, BUT MOST RWANDANS ARE NOT THE BBC!
 
No clue what you are talking about....sound like confused or no idea.

Well,it your opinion. It doesn't bother me. Sina chuki na wwe wala Kagame wala his people. I speak of what i know,and whats has been on the surface of the few for the longest. Am sorry, my opinion didn't entice or appeal your ground,because i chose to look and think differently.
I think Rwanda should move on from the past. Kagame has done a wonderful job so far and i think in any war or conflict,there are collateral damages and things cant be repaired.

My message is MOVE ON Rwanda,period.
 
Kwani watanzania ndio walioandaa hiyo documentary? Humu jamvini kuna watu tofauti tofauti sio watz pekee. Kwahiyo inategemea Story ipi inaingia akilini kwa wale wanaoamini upande wa RPF basi lazima wataendelea kutetea kilichofanywa na RPF. Kwa wale ambao wanaamini upande wa pili basi wao hii documentary inazidi kuwapa ushahidi. Ila ukitathimini mwenendo wa Kagame kama ingekuwa Product life cycle Kagame ameshafikia senescence.
 
hahahah...wahutu wote wameishajipa uraia watanzania na kikwete anawakubali,na hawawezi kujitambulisha kama wahutu kwa sababu za aibu kutokana na mauaji waliyoyafanya

Nashukuru sana kwa kuliweka hilo wazi. Kumbe unajua kabisa kuwa Watusi wanawaua na kuwafukuza wahutu? sasa kagame anajenga Nchi? au anabomoa kwa kuua wahutu walio wengi? jMali murutongore Koba mchambiawima1 Ngongo rushasha Commanche Umslopagas
Ndugu yangu, nchi ya namna hiyo ni matatizo baadaye...... mnajitengenezea jinamizi. Yaani hakuna hata raia yeyote kutoka rwanda humu JF anayemchalenji Kagame. Sasa kuna demokrasia humo? ona sisi huyo commanche anajiita mtanzania na kila siku ni comment za kumsifia kagame na kumponda rais wake. Lakini mbona sisi hatumkani uraia wake?
 
Last edited by a moderator:

mzee wa sumuuuuuuuu, tema sumu tema sumu fastaaaaaa. mzee wa jenosaidiiiii tema sumu fasta fastaaaaaaaaa..... Ni sheedah
 
5,000,000 hutu died after liberation???? duh kweli genocidaire mmeamua kuleta uongo to the point that even your math does not add up. Wafe watu milioni tano na dunia isijue? hii kali.

Niambie mnyamulenge, Mzee wa sumu umemuona. Babu yako huyo msikilize.
mzee wa sumuuuuuuuu, tema sumu tema sumu fastaaaaaa. mzee wa jenosaidiiiii tema sumu fasta fastaaaaaaaaa..... Ni sheedah
 

mzee wa sumuuuuuuuu, tema sumu tema sumu fastaaaaaa. mzee wa jenosaidiiiii tema sumu fasta fastaaaaaaaaa..... Ni sheedah
 
BBC ni noma...si hii video kuna kipindi ilikuwa haipatikani tena You tube...wameirudisha tena...lazima Bunge la Rwanda liipige stop BBC kurusha matangazo Rwanda aisee na ikiwezekana You Tube watafuata...

........nyumba kubwa:; unamaanisha You Tube nao watafuata kupigwa stop wasirushe matangazo Rwanda au nimekuelewa vibaya?
 
walipokuwa kwenye matatizo hawakuwasaidia chochote ila nashangaa sasa wanataka kuwasaidia kuipoteza aman yao. WALAANIWE MASHUSHUSHU WOTE WEUPE KWA WEUSI

Angalia documentary wewe acha kujitoa akili
 
Whenever an issues is raised about the Rwanda Genocide, my memory races to remember Captain Mbaye Diagne (born: 18 March 1958; killed: 31 May 1994) who was a Senegalese Army officer and a United Nations military observer during the 1994 Rwandan Genocide. He is credited with saving many lives during his time in Rwanda through nearly continuous rescue missions at great peril to himself. On the 8th of May 2014, the UN Security Council decided to create the Captain Mbaye Diagne Medal for Exceptional Courage in honour of the actions of Captain Mbaye Diagne during the Rwandan Genocide.
 

Alafu yaelekea na wewe ni kagame moja maana nasikia ana watu hadi tz nadhani nawe ni mmoja wao maana dharau unayoionesha hapa mh
 

Mimi Binafsi naamini MAUWAJI ya Kimbari yalitokea..kwakuwa kipindi hicho tulikuwa chuo na wenzetu waliokuwa mbele yetu walichukuliwa wote kwenda kutoa support kutokana na influx ya wakimbizi na zile maiti karibu 800'000 zilizagaa mto Kagera

Kinachotokea natofautiana na nadharia kuwa MAUWAJI yalikuwa dhidi ya Watutsi peke Yao Kwani Pia kuna baadhi ya Watutsi walikuwa wameuwa wahutu...na kuna wahutu wenye msimamo moderate waliuliwa na wenzao...Sasa wanaoweka Historia ya Kimbari kwanini hawataki kukiri kuwa kuna Wahutu pia walikufa ...

Kutumia Jina " genocide against Tutsi " sio sawa ...Nadhani ingekuwa busara kusema .." Genocide against Tutsi and Moderate Hutu" or simply call it " Rwanda genocide "

Nadhani nadharia inayojengwa kwenye kutumia Jina genocide against Tutsi ....ni kinyume na nadharia ya kusamehe inayohubiriwa na kuwaweka KANDO Wahutu ...kwenye Tawala nchini Rwanda kwakuwa Daima WATAKUWA wanatembea Huku usoni wana nembo ya Kimbari .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…