Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Kwa umburula wako huo ndio maana unatandikwa BAN kila wiki
 
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Tanzania yetu ingekuwa kama ulaya
 
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Tanzania yetu ingekuwa kama ulaya
 
Tena walikuwa wamekwisha kugawana uwaziri na ss hvi kwao ingalikuwa ni kupongezana tu, hakika maombi ya watz Mungu aliyasikia na kutupatia kiongozi ambaye kwa sasa watz tunaanza kupata matumaini mapya na hii serikali, cha msingi ni cc kuwafichua wala rushwa ili na yy apate hamasa ya utendaji wake.
JIONGELEE WEWE UNAYEAMINI POMBE INALETA MAENDELEO.VIROBA NI POMBE HIVYO HUZUIA AJIRA KWA VIJANA.NITAKUWA WA MWISHO KUIAMINI POMBE FULL STOP
 
Wewe hopeless kabisa na Slaa wako. Upoupo tu! Hujui uwe upande wa ccm au ws upinzani! Upoupo tu. Umaarufu wako na wafuasi wako wote umewapoteza! Upoupo tu, neutral! Tehteh. Utateseka sana mwaka huu! Leo unaishabikia ccm? Unamshabikia mtu? Sasa Magu akifa leo utabaki ccm au utarudi upinzani. Da siamini leo umekuwa Lumumba buku 7!Badala ya kushabikia mifumo tunashabikia mtu!
Sasa povu la nn mpaka unakomaa sura kiasi hicho?
lowasa amekupa nn ww mpaka unamvimbia hyo jamaa
 
Inauma sana kuo watu waliotuaminisha kua watatuletea mabadiliko ya kweli kuliko yale yaliyohubiriwa na kina Lowassa wa UKAWA, badala yake wanatuletea viongizi wanaotumia vyeti vya watu na kuwalinda kwa kuwapa ulinzi. Hili halikubaliki na hatutakubali kamwe na watanzania hatutadanganyika.


Mtu anasimama bila kuficha aibu anatumbia vyeti vya wateule wa mukulu vinakaguliwa na TAMISEMI badala ya NECTA?NECTA kazi yao nini?TAMISEMI tangu lini wafanye kazi za NECTA? Tusidanganyane hapa! Huu ni usaliti wa ajabu sana. Watanzania sasa wameshajua waliahidiwa nini,wamevuna nini na sasa hawatakua tayari tena.


Yaani inatengwa bajeti ya maendeleo trillion 11 zinatolewa trillion 3.9? Kwanin tusiseme ni bora ya Lowassa Mara 1000 na zaidi kuliko walioshindwa kutekeleza ahadi zao?Mini maaana ya TRA kukusanya trillion 1.3 kwa mwezi? Makusanyo hayo yanakwenda wapi?


Kwenye serikali ya Lowassa sitegemei kama wangeweza kufanya vioja vya kuajiri na kumlinda mtu aliyefeli akatumia vyeti vya mtu, Sidhani kama serikali ya kina LISSU wangelea mtu anayevamia ofisi za watu.


Nasema hivi watumishi wa serikali wanafanya kazi ilimradi tu liende,hawana morali ya kazi yaani wapo wapo tu. Hawapandishwi madaraja,hakuna anual increments huku gharama za maisha zikipaa.


Mpaka sasa hakuna sababu ya kutompa nchi Lowassa,hakuna anayejutia kumpa Lowassa kura yake zaidi ya wale walioipigia kura CCM 2015. Ninaomba tena na tena Lowassa akamatie kijiti kupitia UKAWA kwa maisha haya tuone kweli watanzania wanaweza kufanya kitu gani.
Kumpa kura lowasa
Bora umupe Mama
Anna
Mg.....,.,......
Maana Ile mamuvi haijiwezi ni
Roboti
 
Lowasa asingekuwa na jipya tofauti na kupongezana kwa kazi kubwa ya kuchakachua kura na kugawana wizara na mipango ya kwenda kujitambulisha nchi za nje, fisadi hana huruma, na Lowasa hakuwahi kuwa na huruma na hakuna siku atakuwa na huruma kwa watz, na ndo maana kura zake hazikutosha, ss wameanza siasa kwa kutumia kifo cha Mawazo. Watz wameshachoka na UKAWA kwa sasa, kwani wamepata Raisi bora na si bora Raisi.
Amen Ra
 
Ningekua nimesamehewa madeni yangu Loans board!!!
 
Ni swa
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Ni swali la kijinga, kipumbavu na kilofa maana Lowassa asingeweza na hatoweza kuchaguliwa kuwa Rais wa Nchi hii labda wa TFF
 
Ni swa

Ni swali la kijinga, kipumbavu na kilofa maana Lowassa asingeweza na hatoweza kuchaguliwa kuwa Rais wa Nchi hii labda wa TFF
Kichwani mwako wamejaa mende badala ya akili kamuulize lubuuuvaa
 
Post yako haina mashiko, hivi kwa akili yako ndogo unadhani Lowassa atakuja kuwa Rais wa nchi hii? Ni Tanzania pekee ambapo asiye na vyeti vya shule anadai vyeti vya mtu mwingine. Ukiona hujatendewa haki basi nenda mahakamani kadai hivyo vyeti usitusumbue hapa, tena acha hizo tabia za Kisambaa za kusema eti Watanzania hatudanganyiki, sema kwa nafsi yako na hayo majungu yako yasiyo na kikomo
Watanzania hatudanganyiki
 
naunga mkono mtoa mada. serikali hii ya awamu ya tano ilihaidi mambo mengi ikiwemo kuboresha maslahi ya wafanyakazi, kuongeza mikopo vyuo vikuu na mengine mengi. lakini kinachofanyika saa hizi ni vituko. badala ya kuajiri walimu wa shule za misingi wenye sifa wanapeleka walimu wa sekondari kufundisha shule za misingi. kwa kweli watanzania tuna wakati mgumu.
Madaktari tunawapeleka kwa majirani zetu wakati sisi hatuna wa kutosheleza
 
Hiyo Serikali ya Lowassa unayozungumzia ni kwa vigezo gani umeipima mpaka kusema ingekuwa ni bora zaidi ya hii ya JPM?

Last time I checked wanasema Lowassa ni Rais wa mioyo ya Watanganyika lakini sijui makao makuu ya mioyo yenu ni wapi?

Utakuwa ujaitendea haki akili yako kwa kusema bora Serikali ambayo haijawai kuwapo kulinganisha na kitu ambacho kipo linganisha Serikali hii na Serikali zilizopita kama ya JK, Mkapa, Mwinyi, na Sr Jk
Upo sahihi kabsa
 
Back
Top Bottom