Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Waziri mkuu angekuwa Mbowe, msaidizi mr zero, mambo ya nje Kubenea, mambo ya ndani Kingunge, Elimu Mgana Msindai, kilimo Hamis Mgeja alafu ndio utegemee mabadiliko? Upuuzi mtupu ni lofa tu wa kuamini hivyo
hii cabinet lazima tungeishi kama wasomalia
 
Wewe soma kwanza tarakimu aka number!!!. Siyo kuja na hadithi za kusadikika hapa we Gamba

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app




Mkuu Odhiambo,
Hii nchi inapaswa ipewe tuzo kwa kumiliki mazezeta wengi zaidi kuliko nchi yoyote duniani.Huyu anayevunja rekodi za makusanyo kila mwezi amefanya nini hadi sasa?Kipaumbele chake hasa ni nini? Ni "pangaboi aina ya bombadia?"

Ikiwa hata mahitaji ya msingi kabisa ya uhai kama vile afya hayapatikani kutokana na ukosefu wa dawa mahospitalini,unaanzaje mtu mwenye akili timamu kushangilia upuuzi huu?Sirluta Usiishie kuokoteza kauli zisizo na mashiko yoyote kwa taifa letu,vipi umeisahau kauli ya kuwataka wakazi wa Kigamboni wasio na nauli za kivuko wapige mbizi? Vipi ile kauli ya juzi ya kuwasimanga waathirika wa tetemeko kwamba "tetemeko halijaletwa na serikali", hiyo ni kauli ya kiungwana iliyopaswa kutolewa na kiongozi kwa watu wake walio katika maumivu ya kupoteza mali na ndugu zao?

Watanzania tunapaswa kukata rufaa na kuomba utafiti huru zaidi ili tuweze kutambua hali halisi ya afya za akili zetu,yawezekana waliotoa matokeo ya utafiti wa afya ya akili zetu wakawa wamechakachua,kwa akili hizi za mleta mada nina uhakika nchi hii ina mazezeta wengi zaidi ya uwiano wa 4:1
 
Naomba 2020 Lowasa amalizane na magu mapema asubuhi

kwa hali ilivyyo magu hatobozi

i swear

pona yao ni katiba mbovu tu
 
hahaha tatizo posho ya buku 7 imeshuka thamani unalialia tu sioni ulichokiandika kina mantiki
 
>mapato yangekuwa chini ya bilioni 900 kila mwezi maana wale rafiki zake wanajua kula na kipofu. Ndo maana shuleni ukifika wakati wa uchaguzi wa viongozi, wanafunzi hupenda kuchagua kiongozi wanaejua namna ya kumtumia kwa maslahi yao.

>mfumuko wa uchumi ungekuwa umefiki 3.0 maana

>dollar ingekuwa imefika tsh elfu tatu kwa dollar moja.

>elimu bure hadi chuo kikuu wananchi ungekuta wameshageuziwa kibao kwamba "kama huwezi kusomesha acha kuzaa" nakumbuka mwaka 2006 alisemaga kwamba "ni aibu kwa mwanaume kuoa halafu unaenda kuomba chakula cha kulisha familia, bora usioe".

>kwakuwa angeshindwa kutoa elimu bure hadi chuo kikuu, safari za nje ya nchi za kwenda kujificha, zingekuwa nyingi kama za baba anayedamka saa 9 alfajiri na kurudi saa 5 usiku ili asionane na watoto.

>utendaji katika ofc za umma ungekuwa wa ovyo sana maana ungekuta ma DC na ma DAS ni wale mama ntilie walioahidiwa madaraka ya juu pamoja na vinyozi.

Afadhali Mungu alituepusha nae hakika sala zetu zilipokelewa. Sifa na Utukufu ni kwako Baba wa Mbinguni.
Pamoja na kwenda miaka kumi field ya kujifunza kupiga ramli bado naona una dosari, either wewe ni POYOYO Hukuelewa ulichofundishwa, au huyo aliekufundisha kupiga ramli ni NGANDA hajui anachokifundisha, ndio maana mkaambiwa ELIMU ELIMU ELIMU
 
Mods Mungu anawaona. Post zangu huwa mnaziunganisha kwenye posts ambazo hata haziendani.
 
Pamoja na kwenda miaka kumi field ya kujifunza kupiga ramli bado naona una dosari, either wewe ni POYOYO Hukuelewa ulichofundishwa, au huyo aliekufundisha kupiga ramli ni NGANDA hajui anachokifundisha, ndio maana mkaambiwa ELIMU ELIMU ELIMU
walioambiwa elimu elimu elimu ni wale waliodeki barabara.
 
Lowassa angekuwa raisi sasa hivi waalimu wote wangekua wamelipwa madeni yao, nyumba nzuri wafanyakazi,wangepandishiwa mishahara yao, madaraja wangepandishwa, wangepewa increament zao kama mkataba unavyosema na wala wanafunzi vyuo vikuu wasingelalamikia mikopo kwani ingekua bure. Na ajira zingekuwepo.Kweli mchagua Nazi hupata koroma.
 
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Kiongozi endelea kuwaza na kuota pia ukimaliza anaweza kuwa rais na hapo utapata majibu sahihi.
 
Lowassa angekuwa raisi sasa hivi waalimu wote wangekua wamelipwa madeni yao, nyumba nzuri wafanyakazi,wangepandishiwa mishahara yao, madaraja wangepandishwa, wangepewa increament zao kama mkataba unavyosema na wala wanafunzi vyuo vikuu wasingelalamikia mikopo kwani ingekua bure. Na ajira zingekuwepo.Kweli mchagua Nazi hupata koroma.
Kawaulize monduli ambako ameongoza kwa miaka 30 na akawaacha wakinywa mavi ya Ng'ombe
 
Lowassa aingenunua vindege halafu hospitalini hakuna dawa au lowassa asingeuzungusha mwenge nchi nzima halafu kwenye kuuzima atufanyie kiini macho cha kurudisha posho
 
Kawaulize monduli ambako ameongoza kwa miaka 30 na akawaacha wakinywa mavi ya Ng'ombe
Bado yeye hakua serikali wala amri ya mwisho. Pia kama angewasaidia wale watanzania sasa mngekua mnasema anaupendeleo kwa watu wao. Mtanzania hamkosi LA kusema.
 
Bado yeye hakua serikali wala amri ya mwisho. Pia kama angewasaidia wale watanzania sasa mngekua mnasema anaupendeleo kwa watu wao. Mtanzania hamkosi LA kusema.
Acha kutetea ujinga
 
Acha kutetea ujinga
Sio kutetea ujinga. Ngoja nikwambie kitu kilichotokea na cha kweli. Kama una umri kama wangu utajua. Unajua kwa mini waziri MKUU wa zamani Cleopa Msuya alikosa nafasi ya kua raisi wa nchi hii!?? Kama hujui nakambia. " NI SWALA LA RAMI. Watu walihoji kama akiwa waziri wa fedha tu amepeleka rami mwanga na sehemu nyingine hakuna je akiwa raisi? FIKILIA HILO.
 
Back
Top Bottom