Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Serikali ya magufuli inalinda wafoji vyeti na inateua teua tuuu na kutengua tengua. Tanzania ya viwanda ndoto kwa staili ya magufuli
Hata kiwanda cha kutengeneza kibiriti tusitegemee
 
Ngosha anayo mapungufu kibao kama mwanadam.....hata hivyo bado ni dharau kubwa kumfananisha na luwassa!.
luwassa ni mpigaji wakati ngosha ni mnyooshaji!!
Nihatari sana kuwa akili programmed
Hivi unayohabari kwamba tuna Mahakama ya Mafisadi
hatujasikia Lowasa akipelekwa huko au alikupiga kitu gani
 
Kwa wakati huu post kama hizi ni za kujifariji tu........



[HASHTAG]#TUNATAKA[/HASHTAG] VYETI
 
Sorry mtoa post hv una undugu na BASHITE
Lowasa asingekuwa na jipya tofauti na kupongezana kwa kazi kubwa ya kuchakachua kura na kugawana wizara na mipango ya kwenda kujitambulisha nchi za nje, fisadi hana huruma, na Lowasa hakuwahi kuwa na huruma na hakuna siku atakuwa na huruma kwa watz, na ndo maana kura zake hazikutosha, ss wameanza siasa kwa kutumia kifo cha Mawazo. Watz wameshachoka na UKAWA kwa sasa, kwani wamepata Raisi bora na si bora Raisi.
 
Kwanza ikuru ingehamia Arusha.bandali ingebinafsishwa.ukabira ungepamba moto.wangeshiba wao ndo tu fuata sisi. Endelea kutunyosha mkuu wa kaya hadi tukae sawa.
 
Hii nchi ya ovyo sana sawa na watu wake pamoja na viongozi..Tunakoelekea hapaonekani wala hakuna dalili za kututia moyo wananchi,kila kitu kinaenda tofauti,wananchi kilio hali ngumu,watumishi kilio hali ngumu,wafanyabiashara nao kilio hali ngumu!!!Mkuu haya yote huyaoni?Waalimu hawana ajira,madeni kibao,mazingira ya kufanyia kazi magumu lkn bado unajitia upofu na uziwi...
Ipo siku wa juu watashushwa chini na wa chini watakwezwa
 
Wewe kwenu Msumbiji. Mambo yetu unatuingilia
Ata ningekuwa mkenya ila hamna sera pia mwenyewe ni mwana chadema ila kwa sasa ninasura ya kijani jamani ata hatuoni mtuanakwambia hii ni Mia wakati nanani buku hahahah
 
Kwanza ikuru ingehamia Arusha.bandali ingebinafsishwa.ukabira ungepamba moto.wangeshiba wao ndo tu fuata sisi. Endelea kutunyosha mkuu wa kaya hadi tukae sawa.
Bandali?
 
Akili tope. Unawaza ujinga mtupu kichwani mwako! Mtoto wa kuokotwa mtaani usiofundwa na Wazazi. Bwege mkubwa!!
 
Jibu rahisi sana nchi ingeingia kwenye ukwasi na rushwa kwa kiwanngo cha kutisha kama chama kimeshindwa kuwa na vision wasomi wsliomo kwenye chama hicho haioneshi kama wa natumia mawazo yao sasa. Ukanda umetamalaki na upendeleo usio na chembe ya hofu ya Mungu chadema sasa hivi ni chama cha Kanda ya ziwa na Kasikazini anzia kwa katibu mkuu wakurugenzi maafisa wa chama Makao makuu angalia uteuzi wa wagombea ubunge ni chama cha kibaguzi u kanda na udini ingekuwa wamepewa nchi hawa ,watu wangelia na kusaga meno.
 
Back
Top Bottom