Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Lowassa angekuwa Rais haya yangetokea
1.Bunge lingeendelea kuwa mubashara
2.Watu wasingekuwa wanashtakiwa kila siku kwa uchochezi
3.Mikopo ya elimu ya juu isingekuwa ni tatizo.
4.Mfumo wote wa ufisadi wa CCM ungeng'olewa mara moja
 
Inauma sana kuo watu waliotuaminisha kua watatuletea mabadiliko ya kweli kuliko yale yaliyohubiriwa na kina Lowassa wa UKAWA, badala yake wanatuletea viongizi wanaotumia vyeti vya watu na kuwalinda kwa kuwapa ulinzi. Hili halikubaliki na hatutakubali kamwe na watanzania hatutadanganyika.


Mtu anasimama bila kuficha aibu anatumbia vyeti vya wateule wa mukulu vinakaguliwa na TAMISEMI badala ya NECTA?NECTA kazi yao nini?TAMISEMI tangu lini wafanye kazi za NECTA? Tusidanganyane hapa! Huu ni usaliti wa ajabu sana. Watanzania sasa wameshajua waliahidiwa nini,wamevuna nini na sasa hawatakua tayari tena.


Yaani inatengwa bajeti ya maendeleo trillion 11 zinatolewa trillion 3.9? Kwanin tusiseme ni bora ya Lowassa Mara 1000 na zaidi kuliko walioshindwa kutekeleza ahadi zao?Mini maaana ya TRA kukusanya trillion 1.3 kwa mwezi? Makusanyo hayo yanakwenda wapi?


Kwenye serikali ya Lowassa sitegemei kama wangeweza kufanya vioja vya kuajiri na kumlinda mtu aliyefeli akatumia vyeti vya mtu, Sidhani kama serikali ya kina LISSU wangelea mtu anayevamia ofisi za watu.


Nasema hivi watumishi wa serikali wanafanya kazi ilimradi tu liende,hawana morali ya kazi yaani wapo wapo tu. Hawapandishwi madaraja,hakuna anual increments huku gharama za maisha zikipaa.


Mpaka sasa hakuna sababu ya kutompa nchi Lowassa,hakuna anayejutia kumpa Lowassa kura yake zaidi ya wale walioipigia kura CCM 2015. Ninaomba tena na tena Lowassa akamatie kijiti kupitia UKAWA kwa maisha haya tuone kweli watanzania wanaweza kufanya kitu gani.
 
Kiburi chao ndio jeneza lao.

Itafika wakati watajua nani ni boss wao.

2020 sio mbali.
 
Ni vigumu sana upinzani kushinda kwa katiba iliyopo, katiba ambayo mwenyekiti wa NEC anateuliwa na m/kiti wa CCM, wakurugenzi wa wilaya ambao ndio wenye jukumu la kutangaza matokeo ngazi ya jimbo na watendaji wa kata ni wateuli wa m/kiti wa CCM! Katiba ambao jaji mkuu, mwanasheria mkuu wa serikali, wakuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, wote hao ni wateuli wa m/kiti wa CCM!
Pia tusisahau makada wa CCM waliowekwa kuhakikisha CCM haitoki madarakani ambao ni wakuu wa mikoa na wilaya.
Ni vigumu sana CCM kutoka madarakani hata kama watashindwa kwenye sanduku la kura kwa katiba iliyopo.
Kama kweli wapinzani wanataka kushika dola basi waachane na siasa za kina BASHITE na wapiganie hata ikiwezekana kwa damu katiba ya WARIOBA, zaidi ya hayo tutakaa kwenye benchi mpaka vizazi kumi vipite nadhani watakuwa na akili na ujasiri kuliko kizazi hiki.
 
Ni vigumu sana upinzani kushinda kwa katiba iliyopo, katiba ambayo mwenyekiti wa NEC anateuliwa na m/kiti wa CCM, wakurugenzi wa wilaya ambao ndio wenye jukumu la kutangaza matokeo ngazi ya jimbo na watendaji wa kata ni wateuli wa m/kiti wa CCM! Katiba ambao jaji mkuu, mwanasheria mkuu wa serikali, wakuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, wote hao ni wateuli wa m/kiti wa CCM!
Pia tusisahau makada wa CCM waliowekwa kuhakikisha CCM haitoki madarakani ambao ni wakuu wa mikoa na wilaya.
Ni vigumu sana CCM kutoka madarakani hata kama watashindwa kwenye sanduku la kura kwa katiba iliyopo.
Kama kweli wapinzani wanataka kushika dola basi waachane na siasa za kina BASHITE na wapiganie hata ikiwezekana kwa damu katiba ya WARIOBA, zaidi ya hayo tutakaa kwenye benchi mpaka vizazi kumi vipite nadhani watakuwa na akili na ujasiri kuliko kizazi hiki.
Mkuu umemaliza na mfano Zanzibar CCM walishindwa mchana kweupe, lakini CCM wametumia vyombo vya dola kubaki na kuendelea kutawala.

Ni kweli wananchi wameumia na wako tayari kubadilika lakini katiba na hasa tume imekaa kuifavor chama kilicho madarakani. Na kwa udhaifu huo tutaendelea kuumia mpaka watu watakapokuwa tayari kufia wanachoamini
 
Hiyo Serikali ya Lowassa unayozungumzia ni kwa vigezo gani umeipima mpaka kusema ingekuwa ni bora zaidi ya hii ya JPM?

Last time I checked wanasema Lowassa ni Rais wa mioyo ya Watanganyika lakini sijui makao makuu ya mioyo yenu ni wapi?

Utakuwa ujaitendea haki akili yako kwa kusema bora Serikali ambayo haijawai kuwapo kulinganisha na kitu ambacho kipo linganisha Serikali hii na Serikali zilizopita kama ya JK, Mkapa, Mwinyi, na Sr Jk
 
Ngosha anayo mapungufu kibao kama mwanadam.....hata hivyo bado ni dharau kubwa kumfananisha na luwassa!.
luwassa ni mpigaji wakati ngosha ni mnyooshaji!!
 
Inauma sana kuo watu waliotuaminisha kua watatuletea mabadiliko ya kweli kuliko yale yaliyohubiriwa na kina Lowassa wa UKAWA, badala yake wanatuletea viongizi wanaotumia vyeti vya watu na kuwalinda kwa kuwapa ulinzi. Hili halikubaliki na hatutakubali kamwe na watanzania hatutadanganyika.


Mtu anasimama bila kuficha aibu anatumbia vyeti vya wateule wa mukulu vinakaguliwa na TAMISEMI badala ya NECTA?NECTA kazi yao nini?TAMISEMI tangu lini wafanye kazi za NECTA? Tusidanganyane hapa! Huu ni usaliti wa ajabu sana. Watanzania sasa wameshajua waliahidiwa nini,wamevuna nini na sasa hawatakua tayari tena.


Yaani inatengwa bajeti ya maendeleo trillion 11 zinatolewa trillion 3.9? Kwanin tusiseme ni bora ya Lowassa Mara 1000 na zaidi kuliko walioshindwa kutekeleza ahadi zao?Mini maaana ya TRA kukusanya trillion 1.3 kwa mwezi? Makusanyo hayo yanakwenda wapi?


Kwenye serikali ya Lowassa sitegemei kama wangeweza kufanya vioja vya kuajiri na kumlinda mtu aliyefeli akatumia vyeti vya mtu, Sidhani kama serikali ya kina LISSU wangelea mtu anayevamia ofisi za watu.


Nasema hivi watumishi wa serikali wanafanya kazi ilimradi tu liende,hawana morali ya kazi yaani wapo wapo tu. Hawapandishwi madaraja,hakuna anual increments huku gharama za maisha zikipaa.


Mpaka sasa hakuna sababu ya kutompa nchi Lowassa,hakuna anayejutia kumpa Lowassa kura yake zaidi ya wale walioipigia kura CCM 2015. Ninaomba tena na tena Lowassa akamatie kijiti kupitia UKAWA kwa maisha haya tuone kweli watanzania wanaweza kufanya kitu gani.
Serikali ya lowassa inapatikana ulimwengu wa sayari gani we kilaza
 
naunga mkono mtoa mada. serikali hii ya awamu ya tano ilihaidi mambo mengi ikiwemo kuboresha maslahi ya wafanyakazi, kuongeza mikopo vyuo vikuu na mengine mengi. lakini kinachofanyika saa hizi ni vituko. badala ya kuajiri walimu wa shule za misingi wenye sifa wanapeleka walimu wa sekondari kufundisha shule za misingi. kwa kweli watanzania tuna wakati mgumu.
 
Ni vigumu sana upinzani kushinda kwa katiba iliyopo, katiba ambayo mwenyekiti wa NEC anateuliwa na m/kiti wa CCM, wakurugenzi wa wilaya ambao ndio wenye jukumu la kutangaza matokeo ngazi ya jimbo na watendaji wa kata ni wateuli wa m/kiti wa CCM! Katiba ambao jaji mkuu, mwanasheria mkuu wa serikali, wakuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, wote hao ni wateuli wa m/kiti wa CCM!
Pia tusisahau makada wa CCM waliowekwa kuhakikisha CCM haitoki madarakani ambao ni wakuu wa mikoa na wilaya.
Ni vigumu sana CCM kutoka madarakani hata kama watashindwa kwenye sanduku la kura kwa katiba iliyopo.
Kama kweli wapinzani wanataka kushika dola basi waachane na siasa za kina BASHITE na wapiganie hata ikiwezekana kwa damu katiba ya WARIOBA, zaidi ya hayo tutakaa kwenye benchi mpaka vizazi kumi vipite nadhani watakuwa na akili na ujasiri kuliko kizazi hiki.
Hiyo ndio sehemu ndogo sana iliyobaki upande wa upinzani, likitoka hilo historia itaandikwa mkuu
 
Ngosha anayo mapungufu kibao kama mwanadam.....hata hivyo bado ni dharau kubwa kumfananisha na luwassa!.
luwassa ni mpigaji wakati ngosha ni mnyooshaji!!
Hakuna cha unyooshaji hapo maana hakuna palikonda. Zaidi wananchi wanaongezewa matatizo lukuki.
 
post za Jf bana! povu limekutokaje, eti bora lowasaa? ha ha ha ha ha ha watanzania sio wajinga kihivyo, tutampigia kura lowassa endapo tu siku mtatuambia kwa nn mlimuweka kwenye list of shame
CCM inabebwa na dola, haina uti wa mgongo kusimama peke yake.Nimekupa jibu sahihi hakuna liingine, uwe na asubuhi njema mkuu
 
Post yako haina mashiko, hivi kwa akili yako ndogo unadhani Lowassa atakuja kuwa Rais wa nchi hii? Ni Tanzania pekee ambapo asiye na vyeti vya shule anadai vyeti vya mtu mwingine. Ukiona hujatendewa haki basi nenda mahakamani kadai hivyo vyeti usitusumbue hapa, tena acha hizo tabia za Kisambaa za kusema eti Watanzania hatudanganyiki, sema kwa nafsi yako na hayo majungu yako yasiyo na kikomo
 
Inauma sana kuo watu waliotuaminisha kua watatuletea mabadiliko ya kweli kuliko yale yaliyohubiriwa na kina Lowassa wa UKAWA, badala yake wanatuletea viongizi wanaotumia vyeti vya watu na kuwalinda kwa kuwapa ulinzi. Hili halikubaliki na hatutakubali kamwe na watanzania hatutadanganyika.


Mtu anasimama bila kuficha aibu anatumbia vyeti vya wateule wa mukulu vinakaguliwa na TAMISEMI badala ya NECTA?NECTA kazi yao nini?TAMISEMI tangu lini wafanye kazi za NECTA? Tusidanganyane hapa! Huu ni usaliti wa ajabu sana. Watanzania sasa wameshajua waliahidiwa nini,wamevuna nini na sasa hawatakua tayari tena.


Yaani inatengwa bajeti ya maendeleo trillion 11 zinatolewa trillion 3.9? Kwanin tusiseme ni bora ya Lowassa Mara 1000 na zaidi kuliko walioshindwa kutekeleza ahadi zao?Mini maaana ya TRA kukusanya trillion 1.3 kwa mwezi? Makusanyo hayo yanakwenda wapi?


Kwenye serikali ya Lowassa sitegemei kama wangeweza kufanya vioja vya kuajiri na kumlinda mtu aliyefeli akatumia vyeti vya mtu, Sidhani kama serikali ya kina LISSU wangelea mtu anayevamia ofisi za watu.


Nasema hivi watumishi wa serikali wanafanya kazi ilimradi tu liende,hawana morali ya kazi yaani wapo wapo tu. Hawapandishwi madaraja,hakuna anual increments huku gharama za maisha zikipaa.


Mpaka sasa hakuna sababu ya kutompa nchi Lowassa,hakuna anayejutia kumpa Lowassa kura yake zaidi ya wale walioipigia kura CCM 2015. Ninaomba tena na tena Lowassa akamatie kijiti kupitia UKAWA kwa maisha haya tuone kweli watanzania wanaweza kufanya kitu gani.
Utasubiri sana . UKAWA ilishajifia kitambooo
 
CCM itaendelea kubaki madarakani,endapo upinzani usipo badilika.lazima wawe na sera na dira za kudumu,kama kuanza na mchakato wa katiba mpya.Tatizo wanadakia kila suala,mara Bashite mara lile.yaan hawana permanent direction.
Dkt slaa ndo aliondoka na upinzan,
 
post za Jf bana! povu limekutokaje, eti bora lowasaa? ha ha ha ha ha ha watanzania sio wajinga kihivyo, tutampigia kura lowassa endapo tu siku mtatuambia kwa nn mlimuweka kwenye list of shame
Elimu elimu elimu unahitaji sana ww bashiteee

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom