Ooouuwwhh jaman bas mimi nilijua upo huku angalau tufarijiane kwan huku kila mtu ana mzuka.... Na mimi kila nikijitahid siwez piga kelele, yaan hata msanii akisema tuimbe wote mimi siimbi kwa kuwa nimetoa hela yangu ili yeye aniimbie... Nikajua upo nikutafute tuwe tunapga vistori kidogo kidogo vya hapa na pale