Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
B12 huyoHuyo anaengea juu ya fastjet ni DJ? Maana mikono hiyo inamuwasha kumix
B12 huyoHuyo anaengea juu ya fastjet ni DJ? Maana mikono hiyo inamuwasha kumix
SanaIla kiba anapendwa sana wallah
Naomba tusaidie kutupia picha basiDarassa anaingia saa ngapi jamani.. natumaini sijapitwa.
Nimependa stage yao

Mchizi wa BongoNasikia watu...kiba.kiba kiba kiba kiba![]()
![]()
![]()
![]()
Kaka ako kasema mwisho saa ngapi?
Kama mimi nakojoa naenda kulala.Msanii unajisikiaje unataka kupata stage mashabiki wanashout Kiba?
wakisema wamuweke kiba kabla ya wengine wataharibu shoo,watu wataondoka kabla shoo haijaisha.Anafanana na mananasi ya kiwangwa poooh manywele na nguo hata hayafanani na hilo kichwan poooh sjui ndo nn
Ameogea maji ya maiti huyu si bureWatu kiba! Kiba! Kiba! Kiba! Looooh huyu jamaa sijui kaogeshwa wapi!?
Wamemuweka eti, hulisikii lijamaa linasema linataka likalale?Kama mimi nakojoa naenda kulala.![]()
![]()
wakisema wamuweke kiba kabla ya wengine wataharibu shoo,watu wataondoka kabla shoo haijaisha.


Noma sana aiseeeKIBA nmeamin ni![]()