Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Poooh kabisa hahahahaha nimechekaKwa jinsi Vanessa alivyovaa ukimchukua ukamchanganya na kuku lazima wamdonoe na kumpanda.
Poooh kabisa hahahahaha nimechekaKwa jinsi Vanessa alivyovaa ukimchukua ukamchanganya na kuku lazima wamdonoe na kumpanda.
Hakawii kutengeneza tukio huyo, usishangae kuona moto hapo uwanjaniNaona Bashite kama amebana Masaki anasubiri saa 9 kasoro alete pua yake huku

Vitu vya kawaida sana kwanguHongera Kwa Hilo
HahahaKwa jinsi Vanessa alivyovaa ukimchukua ukamchanganya na kuku lazima wamdonoe na kumpanda.
R.I.PR. I. P SHARO MILIONAIRE
Mtt Mzur Hulal Tuuu
Mweeee ameuaPoooh kabisa hahahahaha nimecheka
Kweli kabisaKwakweli hii live band sijaifurahia, ni bora watwange CD tu
Ukinipa pia itakuwa vizuri bibie
Wapi Grace Mugabe?![]()
Haya subiri nimalize kuona fiesta na mapenzi ya jukwaani najifunza kutongozwa nikumbukie enzi za ujana wangu.😀
afadhaliUna maksud jamanHaya subiri nimalize kuona fiesta na mapenzi ya jukwaani najifunza kutongozwa nikumbukie enzi za ujana wangu.😀
Ila kiba anapendwa sana wallahKING KIBA SHANGWE ZAKE SO MCHEZO