Naaam ukifanya mema duniani hakika matendo yako yatakufuata hata malaika wanajua
Mwana mapinduzi na kiongozi nzalendo wa Taifa Timamu la Cuba..Atamka alamsiki kama babu zetu walivyofanya.
Si kitu rahisi..lakini hana budi .
Alizaliwa kijijini Biran mwaka 1926.
Mwaka 1955 alipoea tuzo ya Batista..bwana huyo aliweka record ya kuogelea kipande kirefu baharini na kuingia nchini Cuba na kufanikisha mapinduzi.
AMINa
hukuona tb joshua akitabiri magufuli atashinda uchaguzi wakati jecha ameanza kutangaza matokeo?Sasa umri huo unatabiri nini tena? mleta mada poyoyo kweli kweli.
Utafikiria ni kachawi vile, nyie ndo mnaouwa wazee kule kanda ya ziwa.Sasa umri huo unatabiri nini tena? mleta mada poyoyo kweli kweli.
Yani kama si "ukengeukaji" wa wanasiasa wetu, leo Tanzania ungekua habari nyingine Duniani pamoja na hizi resources tulizonazo.Naam Enzi za ma KOMREDI....Camarada
Utafikiria ni kachawi vile, nyie ndo mnaouwa wazee kule kanda ya ziwa.