Fid Q, How do you explain this brother?

Fid Q, How do you explain this brother?

Imba wewe kuhusu madawa, rushwa uone kama kuna mtu atakusikiliza! guys mnachukulia mambo rahisi sana.

Wote tukiwa wasanii nani atawalinda!? Nani atafundisha mashuleni!? Hakuna anaye chukulia simple.. Ila tunakemea mambo yalio nje ya misingi ya utamaduni huu.

Kufanya Rap haimaanishi unaujua utamaduni huu wa hip hop vema...
 
Hivi kuna mtu anamsikilizaga GHETTO AMBASSADOR... mbona haigi!?

Sanaa gani hii ya kukopi!? Kuna vingi vya kuimba jamani... Madawa ya kulevya na Maradhi... Rushwa na Ubaguzi wa Rangi.

Mwambieni.. Aumize kichwa kama Anavyojitahidi kwenye baadhi ya Ngoma za Kushilikishwa.

Kwa mantiki hii wote wanaofanya sampling hawajui sanaa ? Tukianza na 2Pac ambaye Dear Mama alichukua instrumental na ngoma zake nyingi tu amefanya sampling ...., Bofya hapo chini uone ni ngoma ngapi...

2Pac | WhoSampled

Kwa Ufupi....

2Pac:
– Has sampled others 415 times.
– Has been sampled 424 times.
– Has been covered 27 times.
– Has been remixed 61 times.

Notorious B.I.G:
– Has sampled others 314 times.
– Has been sampled 1,053 times.
– Has been covered 20 times.
– Has been remixed 40 times.

Kwahio unless unataka kubadilisha Rules of the Games..., wewe unayoiita Sanaa sio Sanaa....
 
Kwa mantiki hii wote wanaofanya sampling hawajui sanaa ? Tukianza na 2Pac ambaye Dear Mama alichukua instrumental na ngoma zake nyingi tu amefanya sampling ...., Bofya hapo chini uone ni ngoma ngapi...

2Pac | WhoSampled

Kwa Ufupi....

2Pac:
– Has sampled others 415 times.
– Has been sampled 424 times.
– Has been covered 27 times.
– Has been remixed 61 times.

Notorious B.I.G:
– Has sampled others 314 times.
– Has been sampled 1,053 times.
– Has been covered 20 times.
– Has been remixed 40 times.

Kwahio unless unataka kubadilisha Rules of the Games..., wewe unayoiita Sanaa sio Sanaa....

Instrumental na mistari ni sawa eti!?

Rules of the games ndo zipi hizo baharia!?
 
Instrumental na mistari ni sawa eti!?

Rules of the games ndo zipi hizo baharia!?

Rules of the game ni kwamba Sampling kwenye Music na Hip Hop ni jambo la kawaida...

Kwahio na Changes ya 2Pac ile chorus ya Just the way it is ni instrumental ?
 
Rules of the game ni kwamba Sampling kwenye Music na Hip Hop ni jambo la kawaida...

Kwahio na Changes ya 2Pac ile chorus ya Just the way it is ni instrumental ?

Sisumbuki sana na kuchukua beats za watu... Hata Langa Kileo (PUMZIKA MAHALA PEMA) Alisema Farid kachukua beat na Idea ya Sihitaji Marafiki.

We are to show such kind of copying done by Kubanda's son.
 
Hakuna mstari kwenye wimbo wowote ambao haujawahi tumika kwenye wimbo mwingine.
 
Hakuna mstari kwenye wimbo wowote ambao haujawahi tumika kwenye wimbo mwingine.

Mwisho wa siku tutaanza kuzuia hadi maneno yaliyokwishatumiwa na watu wengine tusiyatumie...tuwe tunatunga maneno mapya kila mara...
 
Paulo Sergio De Souz asante mkuu juzi nilikua nasema fid anacopy kutokana na watu wengi kusema hvo pia hata Joh aliwah kumdiss lkn nilipoambiwa nilete uthibitisho nilotoka ndrukii" safi kwa kazi hii kumbe lisemwalo lipo great work brother. Fid Q inabidi imfikie hii aache kudanganya waTz waliokosa uelewa better rap wak bt not copy and paste
 
Last edited by a moderator:
tatizo mmetawaliwa mpk kufikir kwenu...mnafikir wanachofanya wao ndo sahih kulko ninyi....
Fid Q anajua xana...kama humjui ndo unaweza kuandka ungese kama huo...em mfatlie vizur jamaa toka anaanza
 
Hapo uliposema tunachukulia mambo rahisi unakosea...
Anaechukulia rahisi ni huyo msanii wako wa kuchukua line za watu kuunga kupata wimbo hapo si sawa kabisa...
Ulaya angeshtakiwa kabisa haiwezekani ukachukua line karibia tatu bwana...
Na hapo inawezekana wimbo wote mistari ya nyimbo za wengine kaunga unga kapata nyimbo ni uvivu wa kutunga!!!
 
Kuna wimbo wa NAS unaitwa "No idea is Original" isikilize.
"No idea is original, there's nothing new under the sun, it's not what you do but how it's done".
 
KeyserSoze, you're post to be the unusual suspect of them all man, pay close attention to those lines, they basically mean the same thing. Mind the context too.

It's true there's a lotta sampling in the Rap game, but i doubt you know exactly what it is, or else you wouldn't refer what the brother-man did as such. Here Copyright Law, Treaties and Advice.
 
Kila siku nasema fid q ni mvivu wa kufikiri sana mnabisha,kazi yake ni kucopy mashairi na lines za wasanii magwiji ambao hawafahamiki na wengi,mbona wenzake kama akina Songa,credible,Nick mbishi,Nick wa 2, stereo,joh makin wanatunga mistari yao,huyu jamaa hafai kabisaa kuitwa mwana Hiphop,hip hop ni maisha halisi sasa kama mtu anacopy lines za mtu mwingine huyo ni tapeli wa hip hope
 
Kwangu Fid Q ni middle-man, mkalimani, mwalimu n.k. anayechukua nondo zilizokwisha andaliwa watu wengine na kuwafafanulia/tafsiria wanafunzi wake. Sio dhambi, dhambi ni pale unapochukua kazi za wahusika na kuvunga kama ni zako.

Alichofanya Fid kwenye hiyo ngoma ni wizi, amechukua idea, maneno na mistari na kutafsiri bila ruhusa ya wahusika, na kujifanya ni utunzi wake.


Huu hapa ushahidi jinsi jamaa anajifanya hii ngoma katunga yeye, smh!​
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la fid q kujifanya anaandika yeye kumbe mkalimani Wa hip hop na sio mwana hip hop kama angekuwa mwana hip hop alitakiwa aseme hukweli kuwa nimefanya ngoma Fulani Kwa kiswahili
 
Back
Top Bottom