Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
- Thread starter
-
- #201
Ni ile ya Madrid Na Juve?
I had a great respect to him
So ni wewee?
Kwa hiyo na kufuga rasta ame copy kwa nani? Kuvaa ana copy kwa nani?
Wewe ni mwana hip hop?
Kama ndiyo weka hapa track zako tukukumbushe ulipo copy
Kiingereza unachoongea huja copy?
Unajifanya genuine wakati we mwenyewe fake mpaka jina.
Wewe humuwezi fid mpaka kufa maandazi wewe.
Hahaha, hii mbona nilishaielezea mwanzo kabisa nilivyoanza. Ni alter-ego wa TUPACified, Jamaa alipoteza bet, so anatumikia adhabu ya kukaa benchi mwaka.
Wala mimi simshangai na simlaumu Fid Q kwasababu ndivyo alivyolelewa na kuelimishwa kama watanzania wengine tu Na Africa kwa ujumla.
Eg:-
1. wanafunzi wa vyuo wana-copy & paste kazi zilizofanywa na watangulizi wao miaka ya nyuma.
2. Walimu siku hizi hawatungi mitihani wana-copy & paste kilichotungwa na wenzao miaka ya nyuma na kufanyia marekebisho kidogo.
3. Wanafunzi wa Master & PHD most of them wana-copy copy thesis au dissertation kutoka abroad na kuinyumbulisha ili ifanane na mazingira ya case study yake.
4. Policy, sheria na priorities tunaiga kutoka nje, so why not Fid Q? Eg sheria ya ugaidi, sheria ya money laundering n.k, CDM & Lowasa wanasema priority no 1,2 & 3 ni Education, kitu ambacho wamecopy from Tony Blair's idea, and the list goes on
5. Utendaji kazi maofisini umekuwa wa ku-copy na ku-paste. Report ni zile zile, kinachobadilishwa ni tarehe tu. Hakuna creativity.
6. Finally tulaumu mfumo, watu siku hizi hawafundishwi ubunifu. Ubunifu uliopo ni wa kucheza na Google, over.
CC Paulo Sergio De Souz
Ngoja nikuelezee kwa namna hii, kuna Shock G na kuna Humpty-Hump, kuna Eminem na kuna Slim Shady, ndivyo ilivyo kwangu na Mshkaji.
Got you Bro.
Nasubiria ile dossier
Hahaha Upiversity nimefuta swali mtu mzima, sitagusia tena hizo vitu, ila acha name calling. Jiandae tu kunipinga baadae, kama kawa. Amani
Kama tupo darasani tunasema ni wa mwisho kama angekuwa anajua si angekuwa wa 3au 4mbona kawa wa mwisho? Na fid q anajua kujitangaza lakini sio msanii wa kweli uwezi ukawa msanii bora kwa ku copy mashairi ya watu