Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,745
- 39,849
Nimepata bahati ya wiki yote hii kutumia fiber ya simbanet (kwa ajili ya biashara), hii internet ina latency ndogo kiasi kwamba unaweza hadi kusahahu kama unatumia internet. Ni bundle ya 5mbps na unaipata speed hio hio bila kushuka kote download na upload. latency yake ni 2ms tu kitu ambacho sijawahi kiona mtandao wowote wa simu Tanzania au satelite internet yoyote niliowahi tumia.
Uwe unatumia skype, unacheza games online, unaangalia tv/mpira online au kufanya kitu chochote kinachohitaji latency ndogo simbanet wanatuonesha jinsi gani internet ya kufanya mambo hayo inavyotakiwa kuwa. bahati mbaya hii ni package ya biashara hivyo ni ngumu kwa mtu wa kawaida kuweza kui afford, ila nategemea baadae waanze kuuza reja reja kwa wateja.
Kwa mnaotumia smile, 4g tigo na smart 4g kuna ambae amewahi kupata latency/ping ya single digit kama hio?
Kwa ambao hawaelewi latency/ping unaweza kujifunza zaidi hapa
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html
Uwe unatumia skype, unacheza games online, unaangalia tv/mpira online au kufanya kitu chochote kinachohitaji latency ndogo simbanet wanatuonesha jinsi gani internet ya kufanya mambo hayo inavyotakiwa kuwa. bahati mbaya hii ni package ya biashara hivyo ni ngumu kwa mtu wa kawaida kuweza kui afford, ila nategemea baadae waanze kuuza reja reja kwa wateja.
Kwa mnaotumia smile, 4g tigo na smart 4g kuna ambae amewahi kupata latency/ping ya single digit kama hio?
Kwa ambao hawaelewi latency/ping unaweza kujifunza zaidi hapa
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html