kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,493
kizuri chajiuza
Sijui amewakosea nini,amemtaja hadi chegekizuri chajiuza
bangi bila hela shidaSijui amewakosea nini,amemtaja hadi chege
Uko wapi huo wimbo na unaitwaje?Kaza roho km jina la nyimbo yako inavyoitwa,najua marafiki wengi wamekukimbia ,mapromota wamekutenga ila sisi mashabiki wako tuko pamoja,nyimbo ni nzuri ila kwakuwa baadhi ya watu hawakupendi haitahit,kaza roho bro,we love u so much,ni mapito tu ya dunia
Unaitwa NAKAZA ROHOUko wapi huo wimbo na unaitwaje?
Tuwekeen link basi sio wote tupo mjini huko tuna radio au tv tupo milimani hukuUnaitwa NAKAZA ROHO
Ndio ufanye uje mjini! Nitakutumia whatsappTuwekeen link basi sio wote tupo mjini huko tuna radio au tv tupo milimani huku
Whatsapp situmii mie ebu weka link tusikilize wa milimaniNdio ufanye uje mjini! Nitakutumia whatsapp
Mi kuattach hapa video sijui! NingekuwekeaWhatsapp situmii mie ebu weka link tusikilize wa milimani
Ukweli wote wamtenge Ferous, lakini Chege, Chege Chigunda mtoto wa mama Saidi? Hapana amekosea kumtenga Ferous, amekosea sana, mimi nasema hivi najua kwanini nasema. Wimbo sijausikia nisaidieni uko you tube au? Lakina Chege hapana, Mungu anakuona.Sijui amewakosea nini,amemtaja hadi chege
Mkuu ebu dadavua basi kuhusu chege na ferousUkweli wote wamtenge Ferous, lakini Chege, Chege Chigunda mtoto wa mama Saidi? Hapana amekosea kumtenga Ferous, amekosea sana, mimi nasema hivi najua kwanini nasema. Wimbo sijausikia nisaidieni uko you tube au? Lakina Chege hapana, Mungu anakuona.
Ukweli wote wamtenge Ferous, lakini Chege, Chege Chigunda mtoto wa mama Saidi? Hapana amekosea kumtenga Ferous, amekosea sana, mimi nasema hivi najua kwanini nasema. Wimbo sijausikia nisaidieni uko you tube au? Lakina Chege hapana, Mungu anakuona.
Download hizi attachments kuna audio na videoTuwekeen link basi sio wote tupo mjini huko tuna radio au tv tupo milimani huku
Ukweli wote wamtenge Ferous, lakini Chege, Chege Chigunda mtoto wa mama Saidi? Hapana amekosea kumtenga Ferous, amekosea sana, mimi nasema hivi najua kwanini nasema. Wimbo sijausikia nisaidieni uko you tube au? Lakina Chege hapana, Mungu anakuona.