Namalizia kukushauri hivi,
siku nyingine usithubutu kuingilia ugomvi wa watu walio wahi kushea
shuka au wanao endelea kushea shuka! hii milango ya vyumba vya baba na
mama ikishafungwa huwa hatujui nini kinaendelea huko! ni vyema ukahama
hapo maana nahisi kuna aibu inakunyemelea rafiki!
mungu aepushe mbali hiyo aibu
Hilo dude kama zeze kama hiyo picha aliyoiweka LILENDI (Litungu ni ngoma ya asili ya Wakurya inaongozwa na hilo lidude)litungu ndio nini?
Kwanini mdaummmmhhh! mi nitakuwa mshamba wa kuhusisha litungu na kisa husika
litungu ndio nini?
itafute utaipataBahati mbaya sikusoma kisa kizima.....
Ngoja niwe mtazamaji kwanza!!!!
Kwanini mdau