pipii
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 330
- 102
Nakushauri uhame hapo maana kuanzia sasa wote mke na mume watakuwa wanakueleza matatizo yao kwa sababu mke anakuamini kwa sababu umemueleza ukweli kuhusu hali ilivyo hapo home kwake na pia mume atakususimulia kwasababu anaona uko understanding ndio maana amekueleza kwa undani juu ya ndoa yake. In short utakuwa kama sehemu ya kupunguzia stress zao kwani watakuwa wanakuelezea matatizo yao kila wanapokuwa na tension/frastrution. Je huyo kazi utaiweza? maana hapo inabidi ugeuke kuwa mshauri wa hiyo ndoa bila kupenda. Kinachoweza kutokea
1. Ugomvi ukiwa mkubwa sana kiasi cha kuleta matatizo makubwa zaidi, mume atakuona kama wewe ndio ulikuwa chanzo ingawa sio kweli. yeye ndio chanzo cha matatizo yake, lkn siku zote binadamu hutafuta sababu ya tatizo hata kama sio.
2. Huyo aleyeingilia ndoa pia ataambiwa kwamba wewe ndio umetoa hiyo siri hivyo watendelea na mahusiano yao kwa siri lkn huyo msichana atakuwa na donge na wewe kuasi ambacho ataona ananyang'anywa hilo buzi lake kwa sababu ya wewe
3. Huwezi jua tofauti zao zitafikia wapi pengine hata kuumizana au kutoana roho (siunajua akina Mushi siku hizi wako wengi. wapo wanaotumia panga pia hasa wakurya). Hivyo all the time wewe ndio utakuwa reference ya ugomvi wao.
4. Upeo wa huyo jamaa ni mdogo, ndio maana ameweza kufanya hicho alichokifanya kwa style hiyo. wapo wengi wanao cheat lkn sio kwa namna hiyo. Kwahiyo mtu wa namna hiyo anaweza kufanya mengine mengi ambayo huwezi tegemea kama hilo la kuingiza demu mwingine ndani kwake. Hivyo usiamini kirahisi kwamba matatizo yao yataisha na mambo yatakuwa poa, maana anaweza kufanya vituko vingine pia. Hivyo wewe jiondoe kwenye list ya kuja kuwa shahidi kwa lolote hapo baadae. Nakushauri, select problems to deal with (lkn kama unaona hilo unaliweza basi endelea), pia select firends to be with you, itakusaidia hapo baadae mbeleni maishani mwako.
5.Endelea kuwashauri vyema kwa hayo matatizo yao, hata hivyo ulivyofanya ni vyema na umewasaidia kujiweka sawa hasa jamaa aleyekuwa amejisahau kiasi hicho. Lkn kuwasaidia kwako pia kusikuletee matatizo wewe. JARIBU KUWA MAKINI NA HILO SWALA LAO.
Nakutakia siku njema.
1. Ugomvi ukiwa mkubwa sana kiasi cha kuleta matatizo makubwa zaidi, mume atakuona kama wewe ndio ulikuwa chanzo ingawa sio kweli. yeye ndio chanzo cha matatizo yake, lkn siku zote binadamu hutafuta sababu ya tatizo hata kama sio.
2. Huyo aleyeingilia ndoa pia ataambiwa kwamba wewe ndio umetoa hiyo siri hivyo watendelea na mahusiano yao kwa siri lkn huyo msichana atakuwa na donge na wewe kuasi ambacho ataona ananyang'anywa hilo buzi lake kwa sababu ya wewe
3. Huwezi jua tofauti zao zitafikia wapi pengine hata kuumizana au kutoana roho (siunajua akina Mushi siku hizi wako wengi. wapo wanaotumia panga pia hasa wakurya). Hivyo all the time wewe ndio utakuwa reference ya ugomvi wao.
4. Upeo wa huyo jamaa ni mdogo, ndio maana ameweza kufanya hicho alichokifanya kwa style hiyo. wapo wengi wanao cheat lkn sio kwa namna hiyo. Kwahiyo mtu wa namna hiyo anaweza kufanya mengine mengi ambayo huwezi tegemea kama hilo la kuingiza demu mwingine ndani kwake. Hivyo usiamini kirahisi kwamba matatizo yao yataisha na mambo yatakuwa poa, maana anaweza kufanya vituko vingine pia. Hivyo wewe jiondoe kwenye list ya kuja kuwa shahidi kwa lolote hapo baadae. Nakushauri, select problems to deal with (lkn kama unaona hilo unaliweza basi endelea), pia select firends to be with you, itakusaidia hapo baadae mbeleni maishani mwako.
5.Endelea kuwashauri vyema kwa hayo matatizo yao, hata hivyo ulivyofanya ni vyema na umewasaidia kujiweka sawa hasa jamaa aleyekuwa amejisahau kiasi hicho. Lkn kuwasaidia kwako pia kusikuletee matatizo wewe. JARIBU KUWA MAKINI NA HILO SWALA LAO.
Nakutakia siku njema.