nasikia makabila mengine yamepunguza na yanafanya kwa siri sana, ila wakurya wanafanya hadharani na wanadai ni uchafu.
kwenye msafara wa mamba kenge nao hawakosi. hivyo ww ndio kenge hapa. umesamehewa bure.
ahsante, nadhan atakuwa ameelewa.hulazimishwi kuamini. shida
ya baadhi ya watu huona kila mkasa ni story ya kutunga. hata hizo story
za shigongo zinatokana na matukio halisi ndani jamii. mfano, kuna
kitabu kinaitwa Rais Anampenda Mke wangu cha Shigongo. hivi hakuna
marais wanaowapenda wake za watu? use your brain!
haiendani na kisa, tafadhali. weka picha hapo! teh teh tehhii hapa!!
dai tena nyingine!!
![]()
Nakushauri uhame hapo maana
kuanzia sasa wote mke na mume watakuwa wanakueleza matatizo yao kwa
sababu mke anakuamini kwa sababu umemueleza ukweli kuhusu hali ilivyo
hapo home kwake na pia mume atakususimulia kwasababu anaona uko
understanding ndio maana amekueleza kwa undani juu ya ndoa yake. In
short utakuwa kama sehemu ya kupunguzia stress zao kwani watakuwa
wanakuelezea matatizo yao kila wanapokuwa na tension/frastrution. Je
huyo kazi utaiweza? maana hapo inabidi ugeuke kuwa mshauri wa hiyo ndoa
bila kupenda. Kinachoweza kutokea
1. Ugomvi ukiwa mkubwa sana kiasi cha kuleta matatizo makubwa zaidi,
mume atakuona kama wewe ndio ulikuwa chanzo ingawa sio kweli. yeye ndio
chanzo cha matatizo yake, lkn siku zote binadamu hutafuta sababu ya
tatizo hata kama sio.
2. Huyo aleyeingilia ndoa pia ataambiwa kwamba wewe ndio umetoa hiyo
siri hivyo watendelea na mahusiano yao kwa siri lkn huyo msichana
atakuwa na donge na wewe kuasi ambacho ataona ananyang'anywa hilo buzi
lake kwa sababu ya wewe
3. Huwezi jua tofauti zao zitafikia wapi pengine hata kuumizana au
kutoana roho (siunajua akina Mushi siku hizi wako wengi. wapo wanaotumia
panga pia hasa wakurya). Hivyo all the time wewe ndio utakuwa reference
ya ugomvi wao.
4. Upeo wa huyo jamaa ni mdogo, ndio maana ameweza kufanya hicho
alichokifanya kwa style hiyo. wapo wengi wanao cheat lkn sio kwa namna
hiyo. Kwahiyo mtu wa namna hiyo anaweza kufanya mengine mengi ambayo
huwezi tegemea kama hilo la kuingiza demu mwingine ndani kwake. Hivyo
usiamini kirahisi kwamba matatizo yao yataisha na mambo yatakuwa poa,
maana anaweza kufanya vituko vingine pia. Hivyo wewe jiondoe kwenye list
ya kuja kuwa shahidi kwa lolote hapo baadae. Nakushauri, select
problems to deal with (lkn kama unaona hilo unaliweza basi endelea), pia
select firends to be with you, itakusaidia hapo baadae mbeleni maishani
mwako.
5.Endelea kuwashauri vyema kwa hayo matatizo yao, hata hivyo ulivyofanya
ni vyema na umewasaidia kujiweka sawa hasa jamaa aleyekuwa amejisahau
kiasi hicho. Lkn kuwasaidia kwako pia kusikuletee matatizo wewe. JARIBU
KUWA MAKINI NA HILO SWALA LAO.
Nakutakia siku njema.
Litungu
Umefanya la maana kuamua
kuhama hapo. Hiyo ndoa ina mengi na wala mke kujua hautakuwa mwisho wa
mahusiano na mjita kama wameshazaa na anadai ndio chaguo lake.
Hama uwaachie sakata lao watatu watajua jinsi ya kulimaliza.
Gud luck!!!!!
DEMBA,
ulitaka kutoroka bure mdogowangu na ungefanya hivyo jamaa angezidi
jenga chuki dhidi yako. Lakini sasa si unaona ulivyomsaidia? kawa mdogo
ka-piriton!! Siku zote simamia kweli hata kama ni Chungu.
Hoja ya wakurya kutairi wanawake hii ni mbaya kuliko ubaya wenyewe,
madhara yake ni makubwa sana sana wanapaswa kubadilika mara moja, ndo
maana wengi wao (wakurya-ME) wanaoa makabila mengine
tofauti!!!!
mi nashangaa hivi inakuaje chaguo lake ameshindwa kumuoa lakini anaendelea kuwa naye tu.
nasikia makabila mengine yamepunguza na yanafanya kwa siri sana, ila wakurya wanafanya hadharani na wanadai ni uchafu.
kwanza kabisa naomba nitoe shukran zangu za dhati kwa wadau waliochukua muda wao na kunishaurii nini nifanye baada ya tukio la jana kwa kweli mlinipa ujasiri mkubwa. ahsanteni sana na mungu awabariki daima
kwa wale ambao mlinizodoa vile vile nawashukuru kwani kwa kiasi fulan mlinielimisha.
turudi kwenye mada
kikao kilifanyika kwenye majira ya sa mbili na jirani alikuja akiwa amepoa kabisa. aliniambia mengi ambayo yaliniacha mdomo wazi.
kumbe huyu kimada ndio chaguo lake na alishazaa naye ila wazazi wake walikataa asimuoe kwa sababu sio mkurya (ni mjita) na ni mchafu (hajatahiriwa) ndipo wakamtafutia huyo shost ambaye anasoma huko nairobi. kipindi hicho alikuwa binti mdogo wa sekondari. alipomaliza tu sekondari akamuoa na akatakiwa amuendeleze.
mimi nikamwambia kwamba ni kweli mimi nilimwambia lakini alishakuwa na taarifa na mimi nilifanya finishing tu.
ameniomba tubadilishe story lakini mimi nimekataa kujihusisha na mambo yao nimemwambia amalizane nalo yeye mwenyewe. na nimeamua kwamba nisiendelee kukaa hapa kwani anaweza kuwa na kinyongo.
hivi wakurya hii mila ya kutahiriwa bado wanaifanya haaa!!!!! sikujua kama bado inamashiko. mmh inabidi muache jameni.
cc Sista chakii 'Valentina' Asprin watu8 sungura1980 mwekundu Gefu IROKOS BADILI TABIA kuberwa miss wa kinyaru Nambe gfsonwin Ruttashobolwa Mentor atoto miss chagga Munkari Mapi jamiif amu King'ast Mamndenyi Heaven on Earth Baba Wawili 2012 Ennie Malafyale josephmasamaki bahatika SUZANE mwallu mshana jr charminglady matmafcha pipii ushiboy nameless girl Chimunguru Kiboko PetCash amu
Litungu hilo mkuuhaiendani na kisa, tafadhali. weka picha hapo! teh teh teh
Litungu hilo mkuu