feedback ya kikao na mkurya

feedback ya kikao na mkurya

nimejifunza mkuu. ila unajua mimi bado sijaona kosa langu.

Kosa lako ni kujitosa kwenye mahusiano ya watu na kuanza kutoa habari za upande mmoja wakati hujui maisha yao.
 
ure good girl .... pole ila uamuzi wako wa kuama nao ni mzuri pia.......
 
Safi sana! Sasa ktokana na Kuwa umeamua kuhama hapo mahili emu nipm mandhari ya nyumba nihamie Mimi japo nisave ile pesa ya dalali!

nitakupm mkuu, ngoja nimalizie kodi
 
haiendani na kisa, tafadhali. weka picha hapo! teh teh teh

wewe naona ndio hauendani na kisa!

hebu pata hio halafu ukalale!

main%20shutterstock_67024219.jpg
 
sasa unashukuru umeweka wewe??

picha aweke Excel shukrani upewe wewe? halafu unaitikia kwa nguvu kweli! ahsante mkuu!!!!!
Jodoki Kalimilo hiyo picha haijawekwa na LILENDI bwana wala asijipe kichwa!

mkuu vipi? umevurugwa nini?
Jodoki Kalimilo kanielekeza maana ya picha waliyosema ni litungu, mi ndo nikikamshukuru. utakuwa una usingizi kwenye vidole au umetoka kwenye game, si bure.
 
kwanza kabisa naomba nitoe shukran zangu za dhati kwa wadau waliochukua muda wao na kunishaurii nini nifanye baada ya tukio la jana kwa kweli mlinipa ujasiri mkubwa. ahsanteni sana na mungu awabariki daima
kwa wale ambao mlinizodoa vile vile nawashukuru kwani kwa kiasi fulan mlinielimisha.
turudi kwenye mada
kikao kilifanyika kwenye majira ya sa mbili na jirani alikuja akiwa amepoa kabisa. aliniambia mengi ambayo yaliniacha mdomo wazi.
kumbe huyu kimada ndio chaguo lake na alishazaa naye ila wazazi wake walikataa asimuoe kwa sababu sio mkurya (ni mjita) na ni mchafu (hajatahiriwa) ndipo wakamtafutia huyo shost ambaye anasoma huko nairobi. kipindi hicho alikuwa binti mdogo wa sekondari. alipomaliza tu sekondari akamuoa na akatakiwa amuendeleze.
mimi nikamwambia kwamba ni kweli mimi nilimwambia lakini alishakuwa na taarifa na mimi nilifanya finishing tu.

ameniomba tubadilishe story lakini mimi nimekataa kujihusisha na mambo yao nimemwambia amalizane nalo yeye mwenyewe. na nimeamua kwamba nisiendelee kukaa hapa kwani anaweza kuwa na kinyongo.

hivi wakurya hii mila ya kutahiriwa bado wanaifanya haaa!!!!! sikujua kama bado inamashiko. mmh inabidi muache jameni.

cc Sista chakii 'Valentina' Asprin watu8 sungura1980 mwekundu Gefu IROKOS BADILI TABIA kuberwa miss wa kinyaru Nambe gfsonwin Ruttashobolwa Mentor atoto miss chagga Munkari Mapi jamiif amu King'ast Mamndenyi Heaven on Earth Baba Wawili 2012 Ennie Malafyale josephmasamaki bahatika SUZANE mwallu mshana jr charminglady matmafcha pipii ushiboy nameless girl Chimunguru Kiboko PetCash amu

Kwa mtazamo wangu hafifu my dear naona huyo bwana yote hiyo ni defensive mechanism.
Sawa inawezekana alilazimishwa kumuoa huyo bibie nae akakukubali ila akaendeleza mapenzi na kipenda roho chake.
Sasa kisa cha kumleta huyo sweet wake kwenye nyumba anayoishi na mkewe ni kipi.
Si angeendelea kuonana nae huko huko alipokuwa anaishi mwanzo.
Huyo bwana si mstaarabu hata kidogo na kit.o.m.b.I tu hana lolote
Narejea kauli ya The Boss ukimuendekeza huyo utakuwa mke wa tatu.
Na kama anajua mkewe anajua mkanda mzima anaogopa nini mpaka akuombe ubadilishe story. Anakutega huyo asije akakubadilishia kibao kwa mkewe kuwa ulikuwa unamtaka ndio maana ukataka kuwagombanisha...

HALAFU WANAWAKE WENGINE??
mie huyo kimada anayekaa kwenye nyumba ya mwenzie bila aibu simuelewi hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
ukiwa mjini hivi huwezi kujua hali ilvyo huko ukuryani yaani unaambiwa huko mwanamke asiye tahiriwa si mtu na wanadai anatengwa kabisa.
NIULIZE MIMI NILIYEZALIWA HUKO KUKULIA HUKO SHULE HUKO KAZI KWINGINE HATA KURUDI TU SITAKI WALE WASIOFANYIWA FGM HAWATHAMINIWI TENA NIMEKULIA NA KUSOMEA INTERIOR UKITAKA ZAID NITUMIE PM NIKUPE FULL DATA MPAKA PICHA UKITAKA NINAZO!!!!!!!!!:A S 2152:

 
Back
Top Bottom