Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
- Thread starter
- #101
Kwa mtazamo wangu hafifu my dear naona huyo bwana yote hiyo ni defensive mechanism.
Sawa inawezekana alilazimishwa kumuoa huyo bibie nae akakukubali ila akaendeleza mapenzi na kipenda roho chake.
Sasa kisa cha kumleta huyo sweet wake kwenye nyumba anayoishi na mkewe ni kipi.
Si angeendelea kuonana nae huko huko alipokuwa anaishi mwanzo.
Huyo bwana si mstaarabu hata kidogo na kit.o.m.b.I tu hana lolote
Narejea kauli ya The Boss ukimuendekeza huyo utakuwa mke wa tatu.
Na kama anajua mkewe anajua mkanda mzima anaogopa nini mpaka akuombe ubadilishe story. Anakutega huyo asije akakubadilishia kibao kwa mkewe kuwa ulikuwa unamtaka ndio maana ukataka kuwagombanisha...
HALAFU WANAWAKE WENGINE??
mie huyo kimada anayekaa kwenye nyumba ya mwenzie bila aibu simuelewi hata kidogo.
hilo hapo kwenye bold hata mimi nimelitafakari sana. lakini hata akifanya hivyo ipo siku ataumbuka tu, all in all hapa hapanifai tena