Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,657
- 21,084
Naona kaedit baada ya kujua alichoandika initially ni uharo but here's the original postWapi ameandika mbuga zijengwe lami?naona unarudiarudia neno lami.
Naona kaedit baada ya kujua alichoandika initially ni uharo but here's the original postWapi ameandika mbuga zijengwe lami?naona unarudiarudia neno lami.
Barabara za lami sio sawa lakini hizo cable car sio jambo la kubeza,watalii wengi ni wazee hali ya kiafya haziruhusu kupanda mlima kwa miguu.Naona kaedit baada ya kujua alichoandika initially ni uharo but here's the original post View attachment 524889
Exactly priority huyu bwana bila aibu kasema tusiboreshe bandari na badala yake hizo pesa tujengee cable cars Kilimanjaro, hii ni pumba. Tunaweza kujenga hizo cable ila sio kipaumbele kwa sasa, bandari ni ya muhimu ina wateja wengi, wauhakika na wapo kila siku.Kwani ikiwekwa cable car, njia ya kupanda kwa miguu itafungwa? Atakayetaka kufanya adventure ya hiking atafanya asiye na nguvu Ila ana interest tu ya kufika kileleni atatumia cable car.
Bandari ni muhimu utalii pia muhimu so hapo kupanga vipaumbele.
Ni wazo zuri lakini sio sahihi kufikiri kwamba sababu ya utalii basi bandari haina tija. Long term bandari ina msaada mkubwa sana kwa uchumi kama ilivyo utaliiUpanuzi wa bandari kwa sasa hauna tija.
Hizo bilioni mia tatu zingetumika kujenga cable car ya kupandishia watalii mlima Kilimanjaro ndio mradi ambao ungekuwa na tija zaidi.
Tanzania inapata mapato mengi zaidi kwenye utalii kuliko hata kwenye bandari. So ingekuwa ni vyema zaidi tukaboresha sekta ya utalii...
Kwa sasa kwa kuwa mlima Kilimanjaro ndiyo habari ya mujini kwa watalii wengi na wengi wanaofika huishia kuuona kwa mbali kwa kuwa hawana nguvu na afya za kupanda mlima, ujenzi wa cable car ungesaidia watu wengi zaidi ikiwamo watalii wa nje na watalii wa ndani kupanda mlima kwa urahisi.
Kwa kuwa tuna watalii angalau milioni moja wanaotembelea nchi kwa mwaka, kila mmoja angelipa angalau laki moja kupanda mlima kwa kutumia cable car, tungeweza kugenerate mapato yasiyopungua bilioni mia moja kwa mwaka, na hiyo pesa ingeweza kurudhi ndani ya mda mfupi tu ikiwa ni pamoja na kukuza sekta!
Bandari tuboreshe lakini sio kuchimba kina,ndio maana lilikuja wazo la bandari ya bagamoyo kwasababu kuna kina kirefu cha asili hii ya kuchimba baada ya muda kinajifukia yapo mambo ya kuboresha bandari ya muhimu kama vitendea kazi,matumizi ya teknolojia nk lakini sio kuchimba kina maana hata meli za kisasa zinatengenezwa kwa teknolojia ambayo haihitaji meli kuzama chini sana,teknolojia mpya inafanya meli kuelea juu juu ili kupunguza upinzani wa maji ambao unasababisha nguvu nyingi kutumika na chombo ambapo pia hutumia mafuta mengi.Exactly priority huyu bwana bila aibu kasema tusiboreshe bandari na badala yake hizo pesa tujengee cable cars Kilimanjaro, hii ni pumba. Tunaweza kujenga hizo cable ila sio kipaumbele kwa sasa, bandari ni ya muhimu ina wateja wengi, wauhakika na wapo kila siku.
Bandari ina tija lakini mtoa mada kasemea hakuna tija kwenye kutoa bilioni mia tatu kuchima kina.Ni wazo zuri lakini sio sahihi kufikiri kwamba sababu ya utalii basi bandari haina tija. Long term bandari ina msaada mkubwa sana kwa uchumi kama ilivyo utalii
Sasa meli zinaongezeka ukubwa ili kupunguza gharama za uendeshaji. Sisi tuendelee kubaki vilevile itatusaidia nini?Bandari ina tija lakini mtoa mada kasemea hakuna tija kwenye kutoa bilioni mia tatu kuchima kina.
Hajui purpose ya kupanda mlima kwa nguvu ya mtu mwenyewe.The beauty of Mt Kilimanjaro ni kupanda kwa miguu na watalii wengi wanakuja kwa sababu ya kupanda kwa miguu.
What the point ya kupanda kwa kutumia cable car. Ukisha kileleni utasema umepanda mlima Kilimanjaro?
Hii itapunguza watalii wengi wa nje labda wa hapa nyumbani wanaotaka kulinda vitambi vyao.
Sasa kile cheti nilichopewa Kitakuwa na maana gani kama utafika Stella, Gilman na Uhuru peak kwa msaada wa umeme?The beauty of Mt Kilimanjaro ni kupanda kwa miguu na watalii wengi wanakuja kwa sababu ya kupanda kwa miguu.
What the point ya kupanda kwa kutumia cable car. Ukisha kileleni utasema umepanda mlima Kilimanjaro?
Hii itapunguza watalii wengi wa nje labda wa hapa nyumbani wanaotaka kulinda vitambi vyao.
Upanuzi wa bandari kwa sasa hauna tija.
Hizo bilioni mia tatu zingetumika kujenga cable car ya kupandishia watalii mlima Kilimanjaro ndio mradi ambao ungekuwa na tija zaidi.
Tanzania inapata mapato mengi zaidi kwenye utalii kuliko hata kwenye bandari. So ingekuwa ni vyema zaidi tukaboresha sekta ya utalii...
Kwa sasa kwa kuwa mlima Kilimanjaro ndiyo habari ya mujini kwa watalii wengi na wengi wanaofika huishia kuuona kwa mbali kwa kuwa hawana nguvu na afya za kupanda mlima, ujenzi wa cable car ungesaidia watu wengi zaidi ikiwamo watalii wa nje na watalii wa ndani kupanda mlima kwa urahisi.
Kwa kuwa tuna watalii angalau milioni moja wanaotembelea nchi kwa mwaka, kila mmoja angelipa angalau laki moja kupanda mlima kwa kutumia cable car, tungeweza kugenerate mapato yasiyopungua bilioni mia moja kwa mwaka, na hiyo pesa ingeweza kurudhi ndani ya mda mfupi tu ikiwa ni pamoja na kukuza sekta!