cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,867
Mpagazi nini mbona umeongea kwa Key note za juu sana mkuu?Hii ni pumba first class; cable car Kilimanjaro, lami mbugani, bandari isiboreshwe, umesomea ulichooandika kweli?
Milima ya kitalii ni kwaajili ya hiking sio kutumia cable unless huo mlima upo katikati ya mji. Nchi gani wameweka cable car kwenye mlima wa utalii Everest, Himalayas au mt Kenya au wapi huko? Utalii unachangiwa na vivutio vyote nchini sio Kilimanjaro tu ndiyo maana Pato la utalii ni kubwa. Bandari ikiboreshwa na kusimamiwa vizuri ina wateja wengi na wauhakika kila siku. Lami mbugani wakati hata mijini hazijaisha, nchi gani wameweka lami mbugani kila Kona? We jamaa umeenda shule kusomea ujinga