Fedha za upanuzi wa bandari zingetumika kujenga Cable car Mlima Kilimanjaro!

Lete data zinazoonesha kupanda mlima Kilimanjoro kunaingiza au kutaingiza fedha nyingi kuliko Bandari. Umefanya utafiti mkamilifu?
 
Jaman kupanda mlima c mchezo jamaa katoa wazo zuri sana sema ndo hapo utajua kua tz tunawatu wapuuzi sana wao hawaoni tukiwa na njia mbili zitawasaidia hata wenye matatizo ya kiafya vilevile ni njia mojawapo ya kutunza mazingira maana hawa wamiguu wanaharibu mazingira.
 
The beauty of Mt Kilimanjaro ni kupanda kwa miguu na watalii wengi wanakuja kwa sababu ya kupanda kwa miguu.
What the point ya kupanda kwa kutumia cable car. Ukisha kileleni utasema umepanda mlima Kilimanjaro?

Hii itapunguza watalii wengi wa nje labda wa hapa nyumbani wanaotaka kulinda vitambi vyao.
Nadhani haina shida kuwa na car cable, mimi binafsi kupanda mlima sioni kama ni kitu cha mubimu. Ila kama kungekuwa na hiyo car ningeenda kupanda.
Pia kuna wanaopanda na kupiga hizo picha ila wangependa kurudi kwa car. Kama tu kwenye ghorofa, unapanda kwa ngazi kwa ajili ya mazoezi na unashuka kwa lift.

Ukiangalia watalii asilimia kubwa ni wazee, sasa huoni kama hapo kuna fedha tunakosa kama wazee hao na baadhi ya wagonjwa na hata wenye ulemavu wanaopenda kupanda kwa njia mbadala.

Kuna utalii fulani unaitwa "snookling" ule wa kuogelea baharini na kuambalia matumbawe kwa miwani maalum. Wengine kama mimi ni waoga kuogelea ila kama kuna njia mbadala ya zile biat zenye kiooo chini si wengi wenye uwoga kama kinasisi wanvekuja ku hangia.
 
Back
Top Bottom