Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Upanuzi wa bandari kwa sasa hauna tija.
Hizo bilioni mia tatu zingetumika kujenga cable car ya kupandishia watalii mlima Kilimanjaro ndio mradi ambao ungekuwa na tija zaidi.
Tanzania inapata mapato mengi zaidi kwenye utalii kuliko hata kwenye bandari. So ingekuwa ni vyema zaidi tukaboresha sekta ya utalii...
Kwa sasa kwa kuwa mlima Kilimanjaro ndiyo habari ya mujini kwa watalii wengi na wengi wanaofika huishia kuuona kwa mbali kwa kuwa hawana nguvu na afya za kupanda mlima, ujenzi wa cable car ungesaidia watu wengi zaidi ikiwamo watalii wa nje na watalii wa ndani kupanda mlima kwa urahisi.
Kwa kuwa tuna watalii angalau milioni moja wanaotembelea nchi kwa mwaka, kila mmoja angelipa angalau laki moja kupanda mlima kwa kutumia cable car, tungeweza kugenerate mapato yasiyopungua bilioni mia moja kwa mwaka, na hiyo pesa ingeweza kurudhi ndani ya mda mfupi tu ikiwa ni pamoja na kukuza sekta!
Hizo bilioni mia tatu zingetumika kujenga cable car ya kupandishia watalii mlima Kilimanjaro ndio mradi ambao ungekuwa na tija zaidi.
Tanzania inapata mapato mengi zaidi kwenye utalii kuliko hata kwenye bandari. So ingekuwa ni vyema zaidi tukaboresha sekta ya utalii...
Kwa sasa kwa kuwa mlima Kilimanjaro ndiyo habari ya mujini kwa watalii wengi na wengi wanaofika huishia kuuona kwa mbali kwa kuwa hawana nguvu na afya za kupanda mlima, ujenzi wa cable car ungesaidia watu wengi zaidi ikiwamo watalii wa nje na watalii wa ndani kupanda mlima kwa urahisi.
Kwa kuwa tuna watalii angalau milioni moja wanaotembelea nchi kwa mwaka, kila mmoja angelipa angalau laki moja kupanda mlima kwa kutumia cable car, tungeweza kugenerate mapato yasiyopungua bilioni mia moja kwa mwaka, na hiyo pesa ingeweza kurudhi ndani ya mda mfupi tu ikiwa ni pamoja na kukuza sekta!