Fedha za nchi 7 kutoka Afrika ambazo zina thamani zaidi

Umeongea pointi nzuri sana.Nimebahatika kuishi Congo DR,Ghana,Senegal,Mali.Kwenye nchi hizi unakuta fedha zao zina nguvu kuliko za Bongo.Lakini nikawa nashangaa nikibadilisha $ 100 kwenye nchi hizi bikaenda dukani unanunua vitu viko juu sana wakati bongo dola mia unafanya shopping hatari.Lumbumbashi,Dakar,Bamako,Accra hotel ya dola 100 (200,000 hivi) huku bongo ndiyo hotel za 30,000 hadi 50,000.TZ tuko vizuri ila hadi utoke nje huko uangalie na wengine.Kwa Afrika humu Tanzania iko mbali sana,nchi nyingi za Afrika ziko hoi,kazi huwa zinanifikisha vijijini huko.Ukienda Central afrika pale utatokwa machozi maisha ya watu .Mungu ibariki Tabzania
Amen
 
Kipato chao ni kikubwa wakati kipato chako kidogo sasa ukifika kule unashindwa. Mfano Nairobi parking ni Ksh 300 na gari zimejaa hapo Dar ni shilingi ngapi kwa siku na watu wanalia
Hujajibu Maswali mkuu, Parking kubwa sio justification ya maisha kuwa ghali...
Upatikanaji wa Basic needs mfano chakula na Malazi ni mgumu ndo maana vitu viko na bei na sio kuwa wako na vipato vikubwa ndo maana vitu viko ghali....
 
Hujajibu Maswali mkuu, Parking kubwa sio justification ya maisha kuwa ghali...
Upatikanaji wa Basic needs mfano chakula na Malazi ni mgumu ndo maana vitu viko na bei na sio kuwa wako na vipato vikubwa ndo maana vitu viko ghali....
Hakuna ambacho hakipatikani Nairobi vyakula vipo vya kutosha na Ukiangalia manunuzi unaona watu wana nguvu ya kununua kwahiyo kusema maisha ni magumu ni wewe na hela yako ndogo toka Tanzania
 
fedha.png

Kuna baadhi ya nchi nyingi barani Afrika ambazo fedha zake zimekuwa maarufu kutokana na uchumi wake kuwa mkubwa na zipo nchi nyingine ambazo pamoja na kuwa na watu wengi kwenye miji yao lakini bado fedha inakosa thamani.

Nguvu au thamani ya fedha inaweza kupimwa kwa uwezo wa kununua, kuonyesha jinsi uchumi wa nchi husika unavyokuwa kwa kulinganisha na nchi nyingine duniani. Leo April 1 2017 nakuletea list ya nchi saba kutoka Afrika ambazo fedha zake zina nguvu na thamani kubwa kuliko nchi nyingine.

7: Rand – Afrika Kusini (1$=14)

Ukiiweka kando Nigeria nchi nyingine ambayo uchumi wake una nguvu ni Afrika Kusini ambapo hata hivyo kutokana na mgogoro wa kiuchumi kimataifa, thamani ya Rand imekuwa ikiporomoka thamani yake kutokana na kupanda kwa Dolla ambapo sasa unaweza ukabadilisha Dola moja kwa Rand 14.

Rand.jpg


6: Pula – Botswana (1$ = 10.8)

Pula ndiyo fedha ambayo inatumika katika nchi ya Botswana ambayo uchumi wake mkubwa unatokana na mapato yatokanayo na uchimbaji wa madini na ufugaji. Dola moja huuzwa kwa Pula 10.8.

Pula.jpg


5: Dihram – Morocco (1$=9.9)

Morocco ni moja kati ya nchi ambazo zinajivunia kuwa na fedha yenye thamani barani Afrika ambapo uchumi wake unatokana na kujijenga kwa sekta za Utalii, Viwanda na Kilimo. Dola moja ni sawa na Dihram 9.9.

Dihram-mad.jpg


4: Kwacha – Zambia (1$ = 9.84)

Kwacha ni moja kati ya sarafu maarufu sana Kusini mwa Afrika ambayo hutumika nchini Zambia. Sarafu ya Kwacha imekuwa na nguvu sana na thamani kutokana na uchumi mkubwa wa nchi hiyo unaotokana na mapato katika sekta ya Utalii. Dola moja ina thamani ya Kwacha 9.84.

Kwacha-Zambia.jpg


3: Pound – Sudan (1$=6.4)

Licha ya kuwa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa muda mrefu lakini Sudan imendelea kuifanya sarafu yake kuwa na thamani na yenye nguvu zaidi katika kipindi cha miaka mingi kutokana na uchimbaji wa mafuta ambayo yanauzwa nje ya nchi, Uvuvi, na Kilimo ambavyo ni vyanzo vya mapato ya nchi. Dola moja hununuliwa kwa Pound 6.4 za Sudan.

Pound-Senegal.jpg


2: Cedic – Ghana (1$= 4)

Ghana ndiyo nchi pekee ambayo imeingia kwenye list ya nchi zenye sarafu yenye thamani na nguvu kubwa Afrika kwa upande wa nchi za Afrika Magharibi ikikamata nafasi ya pili. Hivi karibuni nchi hiyo imegundua mafuta hivyo kuwaongezea mapato zaidi bila kujali kama bidhaa zao zimeshuka kwenye mauzo. Nchi hiyo inajivunia kuwa na Demokrasia imara barani Afrika hivyo imejiimrisha vizuri katika uchumi. Dola moja hununuliwa kwa Cedic 4.

Cedic-Ghana.jpg
Hiyo figure ya Zambia sio sahh
 
Uchumi nao ni janga la taifa kama ilivyo hesabu,hivi nchi kama ghana au zambia zinazidiwa uchumi na Tanzania alafu leo hela zao zije kuwa na thamani kuzidi ya Tanzania hizi zitakuwa ni akili au matope au unaangalia ukubwa wa figure
Ni sawa na kusema kenya wanauchumi mkubwa kuliko Tanzania alafu leo hela ya Tanzania iwe na thamani zaidi ya hela ya kenya haya yatakuwa maajabu
 
Kwenye hiyo orodha ulioweka hapo nchi ambazo fedha yake ina thamani ni South africa,morocco na sudan
 
Hakuna ambacho hakipatikani Nairobi vyakula vipo vya kutosha na Ukiangalia manunuzi unaona watu wana nguvu ya kununua kwahiyo kusema maisha ni magumu ni wewe na hela yako ndogo toka Tanzania
Acha uongo hapa niemishi nairobi miezi 3 nairobi maisha ni magumu kuanzia vyakula mpaka malazi
 
Kwanza unapozungumzia nguvu ya fedha ni uwanja mpana sana lakini pia pamoja na fedha kuwa moja ya factor 6 zinazohusika na Uchumi lakini pia thamani ya fedha aina mahusiano ya moja kwa moja na Uchumi
kwani kuna vitu viwili ndani ya fedha
1 Fedha(currency)
2 Thamani ya fedha

Sasa bhasi hoja ni fedha si Uchumi so tutakijita kwenye maswala ya kifedha kwanza tunatakiwa kujua

1 Thamani ya fedha haipimwi kwa matumizi ktk manunuzi au huduma

2 Thamani ya kitu inapimwa kwa ubora(quality) si wingi(quantity) au uchache wa zero

3 Thamani ya fedha Inapimwa dhidi ya fedha zingine

kila nchi ina kitu kinaitwa money policy act MPA huu ndo mwongozo wa central bank zote duniani ikiongozwa na WB mfumo huu ndo unawaongoza katika ku supply and monitoring currently unapozungumzia monitoring inamaana kuangalia thamani yake dhidi ya sarafu zingine na moja ya kazi 6 za bank kuu ni kudhiti mfumuko wa Bei
1 print money
2 control supply of money
3 Set the Reserve Requirement
4 Influence Interest Rates
5 Engage in Open Market Operations
6 Control inflation

Mfumuko wa Bei ni kigezo moja wapo cha kushusha thamani ya fedha katika vigezo vinne ya kushusha au kupandisha fedha mfumuko wa Bei nayo ni moja ya sababu japo hii ni sababu za ndani si za nje kwani nguvu soko na mahitaji ndio uamua thamani au Bei ya huduma au bidhaa sokoni


Political Stability and Economic Performance ........
 
1: Dinar – Libya (1$= 1.4116)

Dinar ambayo ni fedha ya Libya inakamata nafasi ya kwanza kwa kuwa fedha yenye thamani na nguvu kubwa barani Afrika ambapo Dola moja hubadilishwa kwa Dinar 1.4116.

Dinar-Libya.jpg
Hii picha iliyopo katika pesa ya Libya ndio yule jamaa aliyemuua Muamar Ghadaff au?
 
Kwanza unapozungumzia nguvu ya fedha ni uwanja mpana sana lakini pia pamoja na fedha kuwa moja ya factor 6 zinazohusika na Uchumi lakini pia thamani ya fedha aina mahusiano ya moja kwa moja na Uchumi
kwani kuna vitu viwili ndani ya fedha
1 Fedha(currency)
2 Thamani ya fedha

Sasa bhasi hoja ni fedha si Uchumi so tutakijita kwenye maswala ya kifedha kwanza tunatakiwa kujua

1 Thamani ya fedha haipimwi kwa matumizi ktk manunuzi au huduma

2 Thamani ya kitu inapimwa kwa ubora(quality) si wingi(quantity) au uchache wa zero

3 Thamani ya fedha Inapimwa dhidi ya fedha zingine

kila nchi ina kitu kinaitwa money policy act MPA huu ndo mwongozo wa central bank zote duniani ikiongozwa na WB mfumo huu ndo unawaongoza katika ku supply and monitoring currently unapozungumzia monitoring inamaana kuangalia thamani yake dhidi ya sarafu zingine na moja ya kazi 6 za bank kuu ni kudhiti mfumuko wa Bei
1 print money
2 control supply of money
3 Set the Reserve Requirement
4 Influence Interest Rates
5 Engage in Open Market Operations
6 Control inflation

Mfumuko wa Bei ni kigezo moja wapo cha kushusha thamani ya fedha katika vigezo vinne ya kushusha au kupandisha fedha mfumuko wa Bei nayo ni moja ya sababu japo hii ni sababu za ndani si za nje kwani nguvu soko na mahitaji ndio uamua thamani au Bei ya huduma au bidhaa sokoni


Political Stability and Economic Performance ........


...waiting to load up on this.
 
Kwacha ya Zambia haifiki hata robo kwenye shilingi....

Walichofanya Zambia ni kupunguza sifuri walikuwa na noti ya lakimoja.

Kiuhalisia 1000kwacha = 225 shilingi...

Nenda mtanzania ukaishi Zambia utaona maisha ni gharama mno.....Ila Mzambia akija Tanzania anashangaa maisha yalivyomteremko....
 
fedha.png

Kuna baadhi ya nchi nyingi barani Afrika ambazo fedha zake zimekuwa maarufu kutokana na uchumi wake kuwa mkubwa na zipo nchi nyingine ambazo pamoja na kuwa na watu wengi kwenye miji yao lakini bado fedha inakosa thamani.

Nguvu au thamani ya fedha inaweza kupimwa kwa uwezo wa kununua, kuonyesha jinsi uchumi wa nchi husika unavyokuwa kwa kulinganisha na nchi nyingine duniani. Leo April 1 2017 nakuletea list ya nchi saba kutoka Afrika ambazo fedha zake zina nguvu na thamani kubwa kuliko nchi nyingine.

7: Rand – Afrika Kusini (1$=14)

Ukiiweka kando Nigeria nchi nyingine ambayo uchumi wake una nguvu ni Afrika Kusini ambapo hata hivyo kutokana na mgogoro wa kiuchumi kimataifa, thamani ya Rand imekuwa ikiporomoka thamani yake kutokana na kupanda kwa Dolla ambapo sasa unaweza ukabadilisha Dola moja kwa Rand 14.

Rand.jpg


6: Pula – Botswana (1$ = 10.8)

Pula ndiyo fedha ambayo inatumika katika nchi ya Botswana ambayo uchumi wake mkubwa unatokana na mapato yatokanayo na uchimbaji wa madini na ufugaji. Dola moja huuzwa kwa Pula 10.8.

Pula.jpg


5: Dihram – Morocco (1$=9.9)

Morocco ni moja kati ya nchi ambazo zinajivunia kuwa na fedha yenye thamani barani Afrika ambapo uchumi wake unatokana na kujijenga kwa sekta za Utalii, Viwanda na Kilimo. Dola moja ni sawa na Dihram 9.9.

Dihram-mad.jpg


4: Kwacha – Zambia (1$ = 9.84)

Kwacha ni moja kati ya sarafu maarufu sana Kusini mwa Afrika ambayo hutumika nchini Zambia. Sarafu ya Kwacha imekuwa na nguvu sana na thamani kutokana na uchumi mkubwa wa nchi hiyo unaotokana na mapato katika sekta ya Utalii. Dola moja ina thamani ya Kwacha 9.84.

Kwacha-Zambia.jpg


3: Pound – Sudan (1$=6.4)

Licha ya kuwa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa muda mrefu lakini Sudan imendelea kuifanya sarafu yake kuwa na thamani na yenye nguvu zaidi katika kipindi cha miaka mingi kutokana na uchimbaji wa mafuta ambayo yanauzwa nje ya nchi, Uvuvi, na Kilimo ambavyo ni vyanzo vya mapato ya nchi. Dola moja hununuliwa kwa Pound 6.4 za Sudan.

Pound-Senegal.jpg


2: Cedic – Ghana (1$= 4)

Ghana ndiyo nchi pekee ambayo imeingia kwenye list ya nchi zenye sarafu yenye thamani na nguvu kubwa Afrika kwa upande wa nchi za Afrika Magharibi ikikamata nafasi ya pili. Hivi karibuni nchi hiyo imegundua mafuta hivyo kuwaongezea mapato zaidi bila kujali kama bidhaa zao zimeshuka kwenye mauzo. Nchi hiyo inajivunia kuwa na Demokrasia imara barani Afrika hivyo imejiimrisha vizuri katika uchumi. Dola moja hununuliwa kwa Cedic 4.

Cedic-Ghana.jpg
Kwa maana hiyo Cedis ya Ghana ina nguvu kuliko hela nyingine hapo juu lakini nimekuwa uko mara nyingi pamoja na kuwa na nguvu lakini purchasing power yake ni ndogo kulinganisha na shilingi yetu. kitu ambacho utakinunua kwa dola kumi Tanzania ukichenji kule unakinunua kwa sawa na dola 15
 
Back
Top Bottom