mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
kacheza Vizuri hizi mechi za kwanza haitakiwa kuleta manjonjo. Kamzuia costa kupiga cross/kufunga na kuna moja kamuiba mtu. Timu imecheza utamu sana. Juve wamevunja arsenal yao yote lakini wamekalishwa na vijana wadogo wakina Marlon, dennis et al.Semedo leo wamemuonea alikua tu anaufuata mpira hata haelewi elewi formation
Sent using Jamii Forums mobile app
observation yangu nimeona kwamba Semedo alikuwa anawakabili 2 players at a time cause right wing midfielder was not doing his defensive dutiesSemedo leo wamemuonea alikua tu anaufuata mpira hata haelewi elewi formation
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kikosi cha kwanza uliiona power house (engine) za katikati kuanzia Rakitic, Iniesta na Messi walifanya nini katikati hadi Juv ikawa wakiupata mpira ni kama wanaumulika kwa torchobservation yangu nimeona kwamba Semedo alikuwa anawakabili 2 players at a time cause right wing midfielder was not doing his defensive duties
Ha ha ha. Kweli umebanwaNeed help please,kwa sasa niiko usukumani village,mpira wa leo nauangalia vipi?? nina roaming internet but usual websites inakuwa taabu huku. Jamaa akikosa angalia mpira leo naweza pewa divorce-yaani mpaka kaniambia uliza huko kwenye forum yenu
Good explanation mkuuRumours :za jana &leo Baba yake Neymar ambaye ni Neymar Sr ndiye anaye force transfer ya mtoto wake to PSG
My take :mzee hayuko informed sana kuhusu transfers za players yeye akili yake anaota fedha nene tu ,huyu mzee hajui pia utaratibu wa FFP (Financial fair play) .Mimi kama shabiki wa Barca nimezoea wa brazil wakiwika muda mfupi na ku disappear tofauti na matarajio ya wengi Rivaldo alicheza muda mfupi sana ,hata Delima hakung'ara muda mrefu tofauti na matarajio,yuko wake Robinho?yuko wapi Kaka?Neymar is supposed to be loyal kuhama clubs hakutamfanya a shine sana
Nakumbuka mwaka jana gangs za Madrid wali expose financial secrets za Barca players kwa njia ambazo ni unethical ikaonekana Neymar analipwa fedha kidogo kushinda Antonio Martial wa united kwa bahati sana management ili respond positively kwa kumuongezea Neymar hela ambayo inamfanya kuwa mchezaji ghali sana duniani na barcelona on their side moja ya terms wali inject buy out clause ambayo ni kubwa mno( £222M) ambayo simply maana yake Barca hawahitaji Neymar anunuliwe ili tum utilise ipasavyo cha ajabu zaidi mwezi November 2016 wakati Neymar anasaini aliambatana na Neymar Sr sasa sijui kasahau?
Thats why Bartmeo akawaambia tu simply Neymar is not for sale na ili umnunue kuna conditions hizi inabidi uzi fullful
1.Comply with FFP
2.Management ya Barca ishushe buy out clause (kwa kifupi waruhusu uuzwe)
3.Exchange -ataponunuliwa Neymar umbadilishe na player/s kadhaa na utoe kiasi cha fedha chini ya hiyo buyout clause.
So simply watu wanaota about transfer ya Neymar
Na simply wanataka fans wa Barca tumchukie Neymar
(Analysis ya mwekundu wa JF)
Wewe uko kama mimi moyo baridi...narudia tena Neymar ana replacement tena best tofauti na mtu kama Messiangeenda tu halafu tulete dyabala mnyama soksi hazipandi juu....dogo kama anataka kujiona mkubwa kuliko timu na dingi mwenyewe tamaaa muda wote
Wewe uko kama mimi moyo baridi...narudia tena Neymar ana replacement tena best tofauti na mtu kama Messi