twalib ngonyani
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 249
- 316
hii ndio barca
Duuhh kumbe jama ni msomi kabsaView attachment 516152
Mr President ......!! anaenda kumaliza shughuli ya masomo this summer
Yeah very professional footballerDuuhh kumbe jama ni msomi kabsa
Sijaelewa nn kimefanya Luis aachie ngazi? Wameona ni incompetent au?View attachment 516280
Officially nusu saa iliyopita Velverde ametangazwa kama new manager lets hope for the best Mungu amsaidie we(Barca) are so ambitious
Tutampima mwishoni mwa league
Laza tusumbue sana msimu ujao. Tunaanza kuwapiga wale nyangenyange kwenye Spanish super cup. Mfumo tunaocheza ndiyo bora kabisa kwa sasa duniani. Tunahitaji tu watu sahihi. Timu zingine zinahangaika kupata mfumo mzuri na wachezaji wazuri. Hivi huyu Velverde hawezi kuja na inyaki? Namkubali kishenzi yule dogo kwenye attack japo hana macho na goli.View attachment 516280
Officially nusu saa iliyopita Velverde ametangazwa kama new manager lets hope for the best Mungu amsaidie we(Barca) are so ambitious
Tutampima mwishoni mwa league
Si umeona msimu huu tulivyopata tabu. Alileta mazoea. Alipata delusion ya invincibility.Sijaelewa nn kimefanya Luis aachie ngazi? Wameona ni incompetent au?
View attachment 515528
Tunaona influence ya Perez
Ata hivyo kihistoria REAL AMEBEBA MAKOMBE MENGI KWENYE LIGI KULIKO BARCA..ATA TUKIWAPA TROPHIES NANE BURE HAMFIKII RECORD YETU...
View attachment 516328
View attachment 516152
Mr President ......!! anaenda kumaliza shughuli ya masomo this summer
Pique ni beki mzuri huwez mlinganisha na Ramos wako alianzia RB pique akifanya kazi Spain wapate world cupHuyo pique...kama vip angebakia hukohuko Tu Harvard....maana kiuhalisia kwa wanaojua soccer ni wazi pique haitendei haki nafasi yake uwanjani kama CB...ila Tu ni ule mfumo mzuri waliokuwaga nao barca Wa Tik-tak umemfanya pique asipatwe na mashambulizi makali ya forwards Wa timu pinzani maana timu inakaa sana na mpira kwa mfano inafikiaga wakati Barca ana POSSESSION YA 74% Sasa hapo timu pinzani itapiga mashambulizi gani ya hatari golini kwenu?...Pia ule uwepo Wa Javier mascherrano umemsaidia...wewe angali mechi nyingi za barca huko nyuma mascherrano amefuta makosa mengi ya uzembe wa pique.
Pique ni beki mzuri huwez mlinganisha na Ramos wako alianzia RB pique akifanya kazi Spain wapate world cup
mkuu wew unamtetea sana Ramos kma ni bora na pique mbovu mbona kila eliclasico miaka ya karbuni barca inashinda na Ramos anafanya utoto ambao hata varane haufanyi inshort uimara wa ramos unaouona ww ni wa game za EIBAR cio?Kataa lakinii Huo ndo ukweli na ukitaka kuproove hicho nilichosema ANGALIA MECHI AMBAZO PIQUE AMECHEZA NA UMTITI PALE UTAONA KABISA DEFENCE ERRORS NYINGI SANA....ILA NI TOFAUTI PIQUE AKIKAA CB NA MASCHERRANO MAANA JAVIER ANAJUA UDHAIFU WA PIQUE HIVYO UCHEZA KWA AKILI PALE...NA NDIO MAANA MASCHERRANO HUWA HAPANDI MBELE HOVYO...ILA UMTITI BADO HAJAMSOMA VYEMA PIQUE.