Me nataka afungwe au atoe draw jeuri yao ya mwaka jana bado kabisa haijaniisha wame rob tuzo kibao kisa Ronaldo anavizia kwenye box akipiga shoot credit zote kwake
Ujanja ujanja una mwisho
jackline 1 ,hicho wanachofanya media ni malipo kwa Ronaldo ,anapenda sana kujisifia ana low self esteem ,very selfish.
Hua hamchelewi tu kusahau Ronaldo kiwango kimeshuka kuanzia mwaka jana mwanzoni kilichomuokoa ni UEFA ambayo fairly kabisa ni team work lakini credit alikua anakula alone
Wachezaji wenzake walianza kumpa mgomo baridi dressing room na akawa anaambiwa kiwango kinashuka .
Last Laliga walioichukulisha Madrid laliga Santender ni Morata,Isco,Ansensio ,Marcelo na Sergio Ramos
Kitu kinachoshangaza zaidi u selfish wa ronaldo anawaita hao madogo wana utoto mwingi