Pia anaspidi ya hatari. Pengine kuzidi Alba (na Alba ni mtu mwenye spidi!). Leo macho yangu yote kwake.Wakati nafanya observation ndio moja ya kigezo changu kikubwa hakika amefaulu tena kwa mimi nilivyomuona yuko balanced ana make nabku defend na kurudi kwenye core task (defence) faster ,sifa nyingine ana ball control na possession kubwa sana na bet 80% ata tailor Barca styles kam Umtiti
Anatambulishwa PSG jumatatuNeymar anatuacha ..anaingia PSG ni kweli?
Huyu inaonekana ameshatuacha. Ameongea na Barto na kumuambia kuwa anataka kuondoka. Wanasema barca wana waconsider dybala na griezmann kama mbadala. Wangemfuata mbappe!.Neymar anatuacha ..anaingia PSG ni kweli?
We wish him all the best,amecheza good last season,so many assists,a joy to watch but he also shares a big portion ya blame sisi kuikosa la liga-he missed a lot of goalsI think Neymar should go.
He's been good with us, but he ain't bigger than Barca!
Pia ni chance nzuri ya kumnasa veratti.
Neymar is a good kid, but he can be totally replaced. He ain't Xavi, he ain't Iniesta!
"Neymar wants to move to PSG" is a good music in the ears of mbappe and Dembele. We could replace him with any of them!
Alikuepo Ronaldinho Gaucho, alikuepo Xavi Hernandez, alikuepo Samuel Et'oo, akaja Thiery Henry na wengine wengi.
Wote waliondoka, but BARCA remains to be The best football club!
With Neymar or without Neymar, we will be fine!
Visca Barca
- KANA -
lakini amekuwa msaliti simkubali wala kumshabikiaa tena!We wish him all the best,amecheza good last season,so many assists,a joy to watch but he also shares a big portion ya blame sisi kuikosa la liga-he missed a lot of goals
Sure,We wish him all the best,amecheza good last season,so many assists,a joy to watch but he also shares a big portion ya blame sisi kuikosa la liga-he missed a lot of goals
Daah ila kiukweli Neymar mwili wake upo Barca ila Roho yake ipo PSG na aondoke tu maana kama mtu spirit imeshahaama basi nafikiri hatufai tenaa asee!Barto ameulizwa kama anauhakika Neymar atabaki amesema ndiyo. Nahisi atabaki.
nimekua nasoma opinion polls za wa Catalonia-wanasema aondoke tu-endapo atabaki nahisi wanaweza fanya maisha yake ki soccer kuwa mabayaDaah ila kiukweli Neymar mwili wake upo Barca ila Roho yake ipo PSG na aondoke tu maana kama mtu spirit imeshahaama basi nafikiri hatufai tenaa asee!
Naona wamemuanzisha vidal kwenye RB.