Hahaaaaaaaaaaa........................It's the best team in Europe bana....
As for now the best team in the world is Inter Milan,The World Club Champions(wliwafunga TP Mazembe Englebert 3-0 kwenye final ya World Club Championship)
Kama kawa! halaf huduma zote zinazokuhusu wewe na Preta kwa mwezi huu nitalipa mimi. Wale washabiki wa Manu wanashauriwa kwenda kupima afya zao kesho mapema ili kuangalia kama ile mishtuko ya mara kwa mara haikuwaathiri.
hao ndo barca timu bora duniani na timu inayocheza mpira wa kuvutia kuliko klabu yoyote duniani.safi sana barca kwa kuwanyamazisha man u ambao walikuwa wanachonga kinoma.
Hahaaaaaaaaaaa........................It's the best team in Europe bana....
As for now the best team in the world is Inter Milan,The World Club Champions(wliwafunga TP Mazembe Englebert 3-0 kwenye final ya World Club Championship)