Kabsa mkuu...huyu jamaa buree kabsa....mm alinikera sana kumbadil no.s.roberty wakat dogo alianza kukamua vizur sana kwenye game kubwa akiwa kama kiungo..yaan huyu kocha hawez kusoma hata mienendo ya wachezaji na Aina ya uchezaj
Ha ha jamaa namuogopa sana kwa kuchoma yaani ni kweli kabisa Proposal ya Messi kuuza takataka zote na watuletee class A players tena Gomes apelekwe hata kwa mkopo Yanga