Invisible
Robot
- Feb 26, 2006
- 16,285
- 8,460
Kosa kubwa, kwenye finals huwezi ku-underestimate uwezo wa mwenzako mkuu. Lakini, Man U nahisi watanyakua kombe hili kwa mara ya pili... Kuna dalili flani hivindio tatizo la kujiamini kupita kiasi... alipojua kuwa mabeki wengi wa barca wako nje walidhani kutakuwa mchochoro