Hii mechi timu zinapigana Magoli Sana na hii yote ni kwamba match iko open kinyama, Newcastle Wana makosa kwenye defensi Yao Huku Barca wakiadhibiwa na high line Yao wanayocheza.
Mkuu mimi mawazo yangu yote mechi ni saa 5 usiku, nilipoona hii tag yako nikasema nisikurupuke kuijibu ngoja niingie livescore nicheki vizuri ratiba nashangaa nakutana na
Oyaa wazee, Haya ni mauaji ya kimbari, Newcastle walivyorudi Kipindi cha pili walidhani Barca tunawaweza hata mm nlijua Leo kazi ipo...Aisee timu za EPL zinagawa Sana uroda hazina ubavu wa kucheza knockout kabisa.