FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hii mechi timu zinapigana Magoli Sana na hii yote ni kwamba match iko open kinyama, Newcastle Wana makosa kwenye defensi Yao Huku Barca wakiadhibiwa na high line Yao wanayocheza.
 
Oyaa wazee, Haya ni mauaji ya kimbari, Newcastle walivyorudi Kipindi cha pili walidhani Barca tunawaweza hata mm nlijua Leo kazi ipo...Aisee timu za EPL zinagawa Sana uroda hazina ubavu wa kucheza knockout kabisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…