FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Dogo kafanya uamuzi wa kijinga sana.

Labda kama ataamua kuondoka Bilbao.

Kinyume na hapo asahau makombe na ukubwa.
Akija kukosa namba timu ya taifa ndio atajua kwamba alifanya uamuzi wa kijinga
 
Lamine asije kuiga life style ya NEYMAR Inatakiwa ajitume,afanye mazoez kwa bidii asije kuiga akili ya neymar kwa sababu hii jezi namba 10 Inaweza kumfanya ajione katusua kikubwa tumuombee
 
Lamine asije kuiga life style ya NEYMAR Inatakiwa ajitume,afanye mazoez kwa bidii asije kuiga akili ya neymar kwa sababu hii jezi namba 10 Inaweza kumfanya ajione katusua kikubwa tumuombee
Dogo ana akili kuliko unavyomfikilia
 
Eeh ndio ila ni wetu tayar.
Dogo alitaka juu chini ajiunge Barcelona.

Kakubali kushusha mshahara kutoka €300,000 kwa wiki mpaka €80,000 kwa wiki hili tu ajiunge Barcelona.

Na hapo hakuna registration guarantee.
 
Lamine asije kuiga life style ya NEYMAR Inatakiwa ajitume,afanye mazoez kwa bidii asije kuiga akili ya neymar kwa sababu hii jezi namba 10 Inaweza kumfanya ajione katusua kikubwa tumuombee
Bitozi nyangema...we subiri ..unacheza na pesa ...mapesa yote hayo ...lazima adate...kama hatakua na msimamiz wa karibu sana kumguide kwenye upande wa pesa matumizi investment n.k
 
Bitozi nyangema...we subiri ..unacheza na pesa ...mapesa yote hayo ...lazima adate...kama hatakua na msimamiz wa karibu sana kumguide kwenye upande wa pesa matumizi investment n.k
Endelea kuota
 
A Real Madrid fan wearing Bellingham's shirt outside the Barça offices waiting for Marcus Rashford's arrival.
 

Attachments

  • GwjeixbasAA9l3W.jpeg
    299.8 KB · Views: 13
Your browser is not able to display this video.
Marcus Rashford: “Barcelona ni klabu ambayo ndoto za watu hutimia”. "Kile ambacho klabu inasimamia kinamaanisha mengi kwangu pia na ninahisi kama niko nyumbani, na hii ni sababu kubwa katika chaguo langu". "Ninahisi ninajiunga na familia".
 
Naona Rashford kapewa namba ya Henry na Mascheraano.
Mhojaji 🗣️: Unajisikiaje kuhama kutoka klabu kubwa ya Manchester hadi klabu nyingine kubwa nchini Hispania?
Marcus Rashford 🗣️: Nani alisema Manchester United ni klabu kubwa? 💀
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…