Natamani QUATAR AIRWAYS warudiTumelipa madeni yote tuliyokuwa tunadaiwa.
Now tuko free kusajili mchezaji tunayemtaka bila vikwazo.
View attachment 3387029
[/QUOT Natamani QUATAR AIRWAYS warudi kwenye udhamini
Huyo mtoto aje tu aisee tufurahiDili letu la kumsajili Nico Williams linaenda kutimia next week.
Japo Bilbao wanatuwekea ngumu.
Dogo anakuja next week.Huyo mtoto aje tu aisee tufurahi
VisDogo anakuja next week.
Bado ku activate release clause yake tu $67.8m dogo atue camp nou.
Dogo anakuja next week.
Bado ku activate release clause yake tu $67.8m dogo atue camp nou.
Dogo anakuja next week.
Bado ku activate release clause yake tu $67.8m dogo atue camp nou.
Visca El Club du Barca,more than a clubHuyo mtoto aje tu aisee tufurahi
Bora angeenda hata bayern lakn yey anataka kufia bilbaoHilo dogo Nico Williams limeamua lifie Bilbao mi nashangaa Barca kwanini walikua wanalihangaikia uwezo wenyewe wa kawaida sana
Muache afie hapoBora angeenda hata bayern lakn yey anataka kufia bilbao
Dogo jau kweli kaongeza mkataba wa miaka 10 mpaka 2035.Bora angeenda hata bayern lakn yey anataka kufia bilbao
Kafanya upuuzi sawa na ule upuuz wa Haaland au kuna project kavutiwa nayo ndan ya clubDogo jau kweli kaongeza mkataba wa miaka 10 mpaka 2035.
Hakuna cha project yoyote.Kafanya upuuzi sawa na ule upuuz wa Haaland au kuna project kavutiwa nayo ndan ya club
Career yake ndio itaishoa hapo BilbaoHakuna cha project yoyote.
Dogo na agent wake walikomalia mkataba wa maandishi kuhusu registration yake.
Barca walimwambia tutamalizana na Bilbao ila kuhusu usajili uwe mvumilivu tutakusajili la liga badae mambo yakikaa sawa.
Dogo akaona kama vile ni kamali mbaya kwake akachomoa.
Dogo utoto bado unamsumbua.Career yake ndio itaishoa hapo Bilbao
Anachukulia masihara muache ajikute mfia timu na nahisi kaka yake hataki dogo awe mkubwa kumzidi yeye ndio maana anataka agande hapo bilbaoDogo utoto bado unamsumbua.
Dogo kafanya uamuzi wa kijinga sana.Anachukulia masihara muache ajikute mfia timu na nahisi kaka yake hataki dogo awe mkubwa kumzidi yeye