FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Huu ukuta upo
sana .Araujo the beast.Ni hatari sana kuwa na team inayomiliki mpira kwa kiasi kikubwa na ina defence nzuri.
 
Nimeona baazi ya source zikisema barca wanataka kumrejesha Pep, iwapo man city watapewa adhabu, na kama atakuja basi ataambatana na Alvares pamoja na Rodri, je wakuu hii imekaeje kwa pep kurejea au team abaki nayo xav
 
Nimeona baazi ya source zikisema barca wanataka kumrejesha Pep, iwapo man city watapewa adhabu, na kama atakuja basi ataambatana na Alvares pamoja na Rodri, je wakuu hii imekaeje kwa pep kurejea au team abaki nayo xav
Mm naona Pep zama zake zimeisha tukomae na Xavi ambae na yeye anapambana kutafta legacy
 
Ikiwa Bayern Munich itamaliza nafasi ya 2 kwenye Bundesliga na Fc Barcelona ikashinda La Liga basi kuna uwezekano mkubwa kwamba Bayern na Barcelona wanaweza Kupangwa kundi moja la UCL msimu ujao... 😂🔥
 
Ikiwa Bayern Munich itamaliza nafasi ya 2 kwenye Bundesliga na Fc Barcelona ikashinda La Liga basi kuna uwezekano mkubwa kwamba Bayern na Barcelona wanaweza Kupangwa kundi moja la UCL msimu ujao...
Brazaaaaaa waonee huruma, hakuna kitu Barcelona fans wanaogopa kama dude la kuitwaa
Bayern,,,
au uongoo ndugu zangu Catalunyans folks
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…