FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Jumapili

Ni final baada ya jana barcelona kumfurusha real bets kwenye hatua ya nusu fainali

Ilikuwa mechi tamu
 
Niliwahi kusema humu wachezaji km

Ansu fati
Mephs depay
Torres
Rafinha
Auba

Sio wachezaji wanaoweza kufit mfumo wa xavi kucheza

Sasa wameambiwa watafute timu
 
Ndondoo muhimu

Sergio busquets jana alicheza mechi ya mia saba
Ni mchezaji wa tatu kucheza mechi nyingi na barcelona baada ya Xavi na mchezaji bora wa duniani wa wakati wote Messi
 
Dembele ni mchezaji mwenye kipaji ila ni mchezaji mvivu na asiyejali hii inamuondolea ubora wake

Angekuwa hatari sana km angekuwa na dicpline ya mchezo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…